Huyu mdada ananiweka sana...

Huyu mdada ananiweka sana...

Mkuu usikate tamaa,anza kwa kumuomba hata umkumbatie, akiwa anakuja au ukiwa unamuaga wakati anaondoka,utamvuta taratibu acha mambo ya kizamani unaweza ukakuta kuna boya mwenzio atumii hata nguvu anakula tunda.
 
jamaa alokua nae kampa mimba inaelekea dogo aliendq kuflash, kimimba kidogo, sasa pale ndo hawakuelewana na jamaa ake ikabidi waachane n mda kama miezi minne, dogo alisaidiwa na dada ake ata wazazi hawajui, alivoenda kutoa alkutwa na matatizo mengne so akasafishwa, yy anachodai hajakomaa na pia anaitaji mda kutulia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh Mmmh.... Unampango gani nae?

Hata akikikukubali utaweza mvumilia Japo umefahamu ukweli wake?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavosomeka, mwaka 2018 nilikuatana na mdada flani JKT Kambi flani baada ya Form 6, Mungu si Athumani tupo wote mkoa mmja.

Tuliendelea kuwasliana mdada ni mwembamba kiasi, ni mzuri haswa ana sura ya kitoto japo age yake inasoma 20 yrs, binafisi nilmpenda sana, ila alikua na mahusiano.

Yote ya yote wameachana na mtu wake anachoniambia akitaka kumkabidhi mtu moyo basi atanikabidhi mimi, kila siku jioni tuonaonana, nampa nguo anafua, anapapenda sana na ninapokaa anasema ni pazuri sana.

Akiwa na mambo yake ananiambia imefkia hatua ananiagiza hadi chupi, ila tatizo hataki anasema nimsubilie akitaka kuingia kwenye mahusiano, kuna mambo yalimtokea japo alinismulia ila sasa kaka karibia nakata tamaa.

Hela ya kula hainipgi chenga Mungu anajalia, akihitaji hata 50k, nampa mda huo huo na hela naitafuta na anajua nina hela japo sio kivile na mpenzi sina maana maisha yangu ni ya kutafuta, ila huyu msichana nitamkosa kisa kukata tamaa japo yeye ndo ananiamsha kila siku. Ntamkatia tamaa japo ni mzuri
Mpwa kwan ww ndo huyo kwenye avatar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavosomeka, mwaka 2018 nilikuatana na mdada flani JKT Kambi flani baada ya Form 6, Mungu si Athumani tupo wote mkoa mmja.

Tuliendelea kuwasliana mdada ni mwembamba kiasi, ni mzuri haswa ana sura ya kitoto japo age yake inasoma 20 yrs, binafisi nilmpenda sana, ila alikua na mahusiano.

Yote ya yote wameachana na mtu wake anachoniambia akitaka kumkabidhi mtu moyo basi atanikabidhi mimi, kila siku jioni tuonaonana, nampa nguo anafua, anapapenda sana na ninapokaa anasema ni pazuri sana.

Akiwa na mambo yake ananiambia imefkia hatua ananiagiza hadi chupi, ila tatizo hataki anasema nimsubilie akitaka kuingia kwenye mahusiano, kuna mambo yalimtokea japo alinismulia ila sasa kaka karibia nakata tamaa.

Hela ya kula hainipgi chenga Mungu anajalia, akihitaji hata 50k, nampa mda huo huo na hela naitafuta na anajua nina hela japo sio kivile na mpenzi sina maana maisha yangu ni ya kutafuta, ila huyu msichana nitamkosa kisa kukata tamaa japo yeye ndo ananiamsha kila siku. Ntamkatia tamaa japo ni mzuri
mbona mko kwenye mahusiano ? au mm sielewi maana ya mahusiano ? nyie mko kwenye mahusiano ila sio ya kimapenzi.furahia hiyo hatua na mambo mengine kaza si mpaka afungue mdomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamaa alokua nae kampa mimba inaelekea dogo aliendq kuflash, kimimba kidogo, sasa pale ndo hawakuelewana na jamaa ake ikabidi waachane n mda kama miezi minne, dogo alisaidiwa na dada ake ata wazazi hawajui, alivoenda kutoa alkutwa na matatizo mengne so akasafishwa, yy anachodai hajakomaa na pia anaitaji mda kutulia

Sent using Jamii Forums mobile app
ndo aje kukomalia kwako ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom