Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,042
- 54,331
Mimi Kifurushi KimekwishaMnyie mnataka kifurushi kikiisha tuangalie nini!?
Nimerudi Huku www.Freebasics.com
Mimi Kifurushi KimekwishaMnyie mnataka kifurushi kikiisha tuangalie nini!?
Siku ya kwanza namuona anatangaza TBC huyu dada niliguna..😅
Toa namba..😜
umenena yan mke akiwa anatasam ni rahaa sanahujamwona live wewe, huyu mtoto ni balaa, akiwa studio kila fundi wa kiume anataka kufanya naye kazi, alafu hajui kukasirika, anacheka tu na watu, mme wake ana raha kuliko wanaume wengi, ukipata mwanamke anayekupa tabasamu, hata asipokupa chakula cha usiku unafika raha ya juu kabisa
mh acha mkuu achaaa mzuri sannaaa huyu Elizabeth Mramba.......mke wa mtu huyu usituingize majaribuni
na mimi nataka namba nna mdogo wangu nimuunganishie kwa huyu mchagaa , maana wachagga wanajua kutafuta hela kweli kweli.Toa namba..😜
njoo nikupe no ya liz alfu utanipa mrejeshona mimi nataka namba nna mdogo wangu nimuunganishie kwa huyu mchagaa , maana wachagga wanajua kutafuta hela kweli kweli.
DM PLEASE, nimuunganishie mdogo wangunjoo nikupe no ya liz alfu utanipa mrejesho
umepiga mambo yako fresh , umepaka na mkongo aisee katafuahi, wanaume mnakula vitu vizuri jamani.