Huyu mbunge, mh!

Nashauri kabla ya hiyo mechi mazoezi wayafanyie Tarime kuwakakamaza zaidi.Mechi ipigwe uwanja wa ugenini Darfur International Stadium baina ya Tanzania Army na Al-Shabab refarii atoke Taliban washika vibendera watoke Alqueda na kamisaa Mpalestina na Stars wakishinda hiyo mechi wazawadiwe kinu cha nyuklia cha kisasa kabisa.Onyo hakuna kukimbia mpaka mwisho wa mchezo vinginevyo ni faini kali ikiambatana sambamba na kufungiwa maisha kushiriki michuano hiyo na shirikisho la vita vya kirafiki ulimwenguni.Nawasilisha.....!!!!
 
mkuu kimicho umetokea baraza la wawakilishi? Nimejenga picha akilini juu ya mazingira ya hiyo mechi nikachoka
 
Mkuu nimecheka sana ngoja nikugongee Li- Sekis
 


Wabunge wetu wa VITI MAALUM ndio wenye akili kama hizi!
 
Tukiomba mechi ya kirafiki na Israel na Jei Wii ikashinda, siku Marekani ikiomba mechi ya kirafiki na Tized, nadhan kuanzia ombaomba Matonya mpaka wale wala bata wa kila watakimbia kusevu roho, Marekani kwa mabomu ya maana hawajambo, Jei Wii mabomu yanakwenda kotekote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…