Huyu mama kazidi sasa

Huyu mama kazidi sasa

Tatizo lako mwanzoni hukutaka kuonyesha ushirikiano na mimi
Nilikwambia nipe rushwa ukajifanya kuingia kichw kichwa kwa dada

ona sasa umekula za uso

Andaa M4 hapo ili nikuweke mambo sawa kwa dada maana hiyo ni hela ya vocha ya kumpigia tu na anaweza akanielewa au asinielewe
Hahaha si kwa pesa izo hahaha unaenda kujenga au
 
Tatizo lako mwanzoni hukutaka kuonyesha ushirikiano na mimi
Nilikwambia nipe rushwa ukajifanya kuingia kichw kichwa kwa dada

ona sasa umekula za uso

Andaa M4 hapo ili nikuweke mambo sawa kwa dada maana hiyo ni hela ya vocha ya kumpigia tu na anaweza akanielewa au asinielewe
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha. Asiyejua maana haambiwi maana.
 
Tatizo lako mwanzoni hukutaka kuonyesha ushirikiano na mimi
Nilikwambia nipe rushwa ukajifanya kuingia kichw kichwa kwa dada

ona sasa umekula za uso

Andaa M4 hapo ili nikuweke mambo sawa kwa dada maana hiyo ni hela ya vocha ya kumpigia tu na anaweza akanielewa au asinielewe
Ninaamini kwamba dadaako hataki kudalaliwa.
 
Kwani Natakiwa niwe na myoyo mingapi? Mmoja ninao tayari sihitaji mwingine ha ha ha ha ha.
moyo watakiwa uwe na mmoja ila nashangaa unajiongezea mingine

Yaan ntakuwa na kufatilia kila nyendo zako nikiona tu umesimama mahari unamuongelesha dada angu basi utaniona huyooo nimekuja

usije ukaruharibia shughurii bure kwa pilau kulitia nazii
 
moyo watakiwa uwe na mmoja ila nashangaa unajiongezea mingine

Yaan ntakuwa na kufatilia kila nyendo zako nikiona tu umesimama mahari unamuongelesha dada angu basi utaniona huyooo nimekuja

usije ukaruharibia shughurii bure kwa pilau kulitia nazii
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha... .......sawa... Naona kazi kama itakuwa ngumu kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom