gfsonwin JF-Expert Member Apr 12, 2012 18,274 20,673 Jun 6, 2012 #2 nani unaye msemea Nawanda Yahaya? Alikuwaga kichwa wa sociology na mwenzie omar sijui siku hizi yuko wapi.
nani unaye msemea Nawanda Yahaya? Alikuwaga kichwa wa sociology na mwenzie omar sijui siku hizi yuko wapi.
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 Jun 6, 2012 #3 Mkuu Kingfish, ulikuwa Singida? namuona na huyo mhindi Naghji mfadhili wa gambaz. Hapo ni ukumbi wa RS.:clap2:
Mkuu Kingfish, ulikuwa Singida? namuona na huyo mhindi Naghji mfadhili wa gambaz. Hapo ni ukumbi wa RS.:clap2:
kingfish JF-Expert Member Apr 15, 2011 571 159 Jun 6, 2012 Thread starter #4 hapana sikuwa singida nimeikuta mjengwa blog
kingfish JF-Expert Member Apr 15, 2011 571 159 Jun 6, 2012 Thread starter #5 Ninayemsema ni huyo anayeonekana kwa ukaribu,anaitwa mosi chang'a ni d.c. Aliwahi kuwa katibu wa magamba wilaya ya njombe.
Ninayemsema ni huyo anayeonekana kwa ukaribu,anaitwa mosi chang'a ni d.c. Aliwahi kuwa katibu wa magamba wilaya ya njombe.
N Nasolwa JF-Expert Member Jun 12, 2008 1,827 297 Jun 6, 2012 #6 Huyu ni DC Chang'a wa wilaya mpya ya Mkalama iliyomegwa toka wilaya ya Iramba