King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
Lol, na repair sijui itakuwa sh ngapi? Hahaha
2500....
2500....
Kakariri na kasahau kwamba kuna usalama wa taifa!
maisha ni hatari sana,, nauchukia
sana umaskini , eti hapa mjini mtu
kamua awe fundi mianvuli kweli
fundi mianvuli jamani huo
mwanvuli unauzwa tsh ngapi,,
mpaka uharibike ni lini na hiki
kiangazi nanii atakumbuka habari
za mianvuli,, aiseee sijawahi
mdharau maskini mwenzangu zaidi
ya kumhurumia
So huenda fundi huyo wa miamvuli ni usalama wa taifa.
maisha ni hatari sana,, nauchukia
sana umaskini , eti hapa mjini mtu
kamua awe fundi mianvuli kweli
fundi mianvuli jamani huo
mwanvuli unauzwa tsh ngapi,,
mpaka uharibike ni lini na hiki
kiangazi nanii atakumbuka habari
za mianvuli,, aiseee sijawahi
mdharau maskini mwenzangu zaidi
ya kumhurumia
sijawahi miliki mwamvuli
Acha zarau wewe na ye ndio maisha aliyopangiwa kuishi hata mbuyu ulianza kama mchicha
hivi unajuwa kusoma wewe? amesema hawezi kumdharau maskini mwenzake.
mjini mambo mengi kaka watu wengine hizo kazi ni zuga tu.kuna jamaa alikua anatuuzia kahawa na kashata hapa mjini
Arusha na anaelezea mahesabu mazuri ya fedha anayopata .2010 kuna jamaa akakutana nae anaingia Ikulu na ametoa
kitambulisho kuanzia hapo akatupigia simu kwamba huyu jamaa wa gahawa naingia nae hapa Ikulu na ameonyesha Id ya
kazi yake .Heshimu watu tu huku mijini kwetu.
Kama cjui kusoma nahisi wewe ndio ulikua mwalim wangu ndio maana cjui kusoma.....kama awez kumzarau maskin kwa akil yako apo kafanyaje na wewe...
siwezi kubishana na wewe hapa tuna level tofauti za uelewa. kusoma ni jambo moja na kuelewa ni jambo lingine kabisa.