Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Sio mbaya na wewe ndio kichwa chako kimeishia hapo kunielewa...
unazungumzia kichwa kipi maana hata mboo ina kichwa.
Sio mbaya na wewe ndio kichwa chako kimeishia hapo kunielewa...
basi jifunze kuandika maana mwandiko wako hapa ni mbaya sana.
Mxiuuuuuuuuuu
maisha ni hatari sana,, nauchukia
sana umaskini , eti hapa mjini mtu
kamua awe fundi mianvuli kweli
fundi mianvuli jamani huo
mwanvuli unauzwa tsh ngapi,,
mpaka uharibike ni lini na hiki
kiangazi nanii atakumbuka habari
za mianvuli,, aiseee sijawahi
mdharau maskini mwenzangu zaidi
ya kumhurumia
anajipatia rizki kwa hiyo kazi yake! alishawahi kukuomba chakula?
pia sijaona lengo mahususi la hii thread
Hizi kazi unazozidharau wkt mwingine zinakipato kikubwa hata kuzidi wa vaa suti maofisini
madawa ya kulevya huez ukauza bila biashara ya kuzugia