Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

Huyu jamaa ana roho mbaya Iseee!

Atlast nimempata

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
585
Reaction score
1,164
Screenshot_20250505_194020_X.jpg
 
Mmiliki na wafanyakazi wa eneo hilo wana makosa, huwezi kuruhusu mtu asiye mteja kusogea sehemu ya wateja ikiwa yeye siyo mteja.
(Privacy ni muhimu).

hapo ni sehemu ya kupata huduma, na Jamaa kaja kula ili kukidhi haja yake, tena kwa pesa yake na mda wake mwenyewe.

Haina haja ya kumlaumu ikiwa sio tatizo lake,. Sema mwamba kuwa bize na simu kazingua kidogo.
ange wasikiliza kibinadamu.
 
Mmiliki na wafanyakazi wa eneo hilo wana makosa, huwezi kuruhusu mtu asiye mteja kusogea sehemu ya wateja ikiwa yeye siyo mteja.

hapo ni sehemu ya kupata huduma, na Jamaa kaja kula ili kukidhi haja yake, tena kwa pesa yake na mda wake mwenyewe.

Haina haja ya kumlaumu ikiwa sio tatizo lake,. Sema mwambia kuwa bize na simu kazingua kidogo.
ange wasikiliza kibinadamu.
Hii ni picha mnato. Huenda kuna matukio kadhaa..maybe huyo maza alitaka asaidiwe kwa lazima as if ni Haki yake ya kikatiba.... ofcourse kama ulivyosema mmiliki wa eneo amezingua, anastahili azingatie usalama na ustaraabu kwa wateja wake... hata kama mm nimeenda kwenye mkahawa wa aina hii nikakutana na hii scenario hata kama nitawasaidia maza na huyo mwanae kiubinadamu ,automatically kesho na keshokutwa sitakanyaga tena kwenye huo mkahawa.
 
Binafsi naona pia yupo sahihi.. usiniulize kwanini.
Nakumbuka siku moja nipo kinondoni manyanya kuna mgahawa nakula akaja teja anataka buku nikamwambia sina akaanza maneno ya shombo.. kwa hiyo unakula biriani na juice hutaki kunipa buku

Nikamwita mhudumu (mdada) hebu niondolee huyu mtu sitaki usumbufu tofauti na hapo nitaondoka na silipi maana mnalea ujinga kwenye mgahawa wenu

yule mdada alienda kumwita mpishi (jamaa) akaja akamtoa lkn jamaa anatolewa huku aninitamkia maneno ya hovyo.

Kiufupi huu ni usumbufu wakati nakula sitaki vurugu, kwa nini ukose ustaharabu nimalize kula ndio uniambie.
 
Back
Top Bottom