Huyu harudii tena

Ndiyo huyu jamaa nini?๐Ÿ‘‡

 

Sawa. Haina Shida...Sisi ni People tutakutana...Sirudii Tena. Nisamehe
 
Kwa uaminifu ni kitu adimu sana sasahivi, kwa nini umfanyie ufisadi mtu mwema kwako, wakati ambao mwenzako kaonesha upendo?

Kuna raha gani ya kumuudhi akupendaye bila sababu ya yeye kukufanyia ubaya?

Ninyi ndiyo mnaofanya kada ya ma slay queen kutoangaliwa jicho la huruma pamwe upendo.

Sana sana hapo mdau umemjengea picha mbaya kichwani mwake na kuona wanawake wote hawaaminiki, ni wakutumia ovyo ovyo bila kuwekeza upendo, umewaangusha wasichana wote.

Enhe, umemfanyia maudhi aliyekukarimu, wadhani atakurudia mara mbili?

Na kwa kitendo hicho umepata faida gani binafsi?
 
Unajielezea sana mzee, punguza maneno
 
Chai
 
Napenda watu kama wewe, nilishajieleza mwanzoni kabisa kwamba mimi nimepita njia moja na M23 na wananiita madam, sasa kuna watu kama wewe mnachukulia poa wanawake, sina shida ya pesa mimi, ila naona dharau zimezidi, nataka aonyeshe uanaume wake sasa
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Nani huyo ambae hajui kuomba papuchi?
Umekutana na mtoto wa English medium huyo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ