Soot Mkorofi
Member
- Nov 29, 2013
- 9
- 2
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!