Huyu Ernest Massawe ni nani?

Huyu Ernest Massawe ni nani?

Soot Mkorofi

Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!
 
huyu ni mmoja wa mabilionea huko kaskazn,lakini... ngoja ninyamaz cjeng'olewa meno bila ganzi
 
Ni mmoja kati ya wasomi wa zamani Tz ndio aliyewaleta Ernest & Young (EY) Tz kipindi hcho inaitwa Masawe Ernest Auditing firm. He deserves to have hayo makampuni coz of his back ground education and hard working
 
Kwani shida iko wapi!??

Mleta mada ameuliza kama kuna anaemfahamu Ernest Massawe, jamaa akaomba picha yake Pengine anamjua kwa sura, utoto uko wapi hapo!??

Kama ni yule wa ERNST&YOUNG namjua sana.
 
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!

Ingekuwa vizuri ukiweka wazi unachotaka kusema badala ya kuzunguka zunguka.

Kwamba ni mfanyibiashara na yuko karibu na watu wa system unataka tuelewe nini? Tuelewe kuwa biashara zake si halali?!
 
Kwani shida iko wapi!??

Mleta mada ameuliza kama kuna anaemfahamu Ernest Massawe, jamaa akaomba picha yake Pengine anamjua kwa sura, utoto uko wapi hapo!??

kutoona shida pia ni shida zaidi... hiyo weka picha ni ka epidemic fulani hivi, unless wewe ni wa jana humu
 
Ingekuwa vizuri ukiweka wazi unachotaka kusema badala ya kuzunguka zunguka.

Kwamba ni mfanyibiashara na yuko karibu na watu wa system unataka tuelewe nini? Tuelewe kuwa biashara zake si halali?!

subiri utasikia anafanya kazi kwa mgongo wa RIZ1 ,ni rafiki yake mkulu, ooh baba rizi moko anashare kwenye hizo kampuni, ooh! tusubiri redio mbao zilete khabari
 
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!

habari za tajiri muulize maskini
 
Erncon Holdings Limited is a Family Investment Company established by Mr. Ernest S. Massawe and his family. It was established in 1993 for the sole purpose of managing the family's various investment activities as well as holding the family's assets. The initial directors of the company are Mr. Ernest Massawe, Mrs. Consolata Massawe, Ms. Maryanne Massawe, Mr. Andrew Massawe and Mr. Justin Massawe.

To-date the company has experienced strong growth and has diversified a portfolio covering a number of sectors, including: Tourism, Industrial gases,Insurance, Assurance, Banking, Real Estate, Stock Broking, Fund Management, Leasing, Mining, Mining Services and Logistics Solutions, Transportation and Telecoms.

source: akiba commercial bank

Hapo swala Oil hii kampuni yake ina 20% (source: east african)
 
Back
Top Bottom