Huyu Ernest Massawe ni nani?

Huyu Ernest Massawe ni nani?

Erncon Holdings Limited is a Family Investment Company established by Mr. Ernest S. Massawe and his family. It was established in 1993 for the sole purpose of managing the family’s various investment activities as well as holding the family’s assets. The initial directors of the company are Mr. Ernest Massawe, Mrs. Consolata Massawe, Ms. Maryanne Massawe, Mr. Andrew Massawe and Mr. Justin Massawe.

To-date the company has experienced strong growth and has diversified a portfolio covering a number of sectors, including: Tourism, Industrial gases,Insurance, Assurance, Banking, Real Estate, Stock Broking, Fund Management, Leasing, Mining, Mining Services and Logistics Solutions, Transportation and Telecoms.

source: akiba commercial bank

Hapo swala Oil hii kampuni yake ina 20% (source: east african)

hili ndiyo jibu.
 
Huyu jamaa ni miongoni mwa watu wenye maeneo makubwa sana na mengi ya uchimbaji wa madini hapa nchini.

Karibu nusu ya vitalu vya uchimbaji dhahabu mkoani Geita na hasa eneo la Lwamgasa,Nyarugusu,na Nyaruyeye.
 
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!
Ernest Massawe ni msomi,aligraduate university of East Africa (Nairobi) kitaaambo sana,then akapata ACCA,akaanzisha kampuni yake ya auditing,Massawe Ernest auditing firm ndio bwana young akaja wakaunganisha nguvu mpaka kampuni imekuwa kubwa na yeye ndio chairman kwa africa mashariki,anamiliki makampuni mengi na ameihusisha familia yake kwa ukaribusana sababu ni wasomi wakubwa pia,sasa ni chairman wa swala!
 
Mkuu huyu jamaa nasikia hata kumwona ni shida anamzigo wa kufa

Mkuu kumwona sio shida, sisi mbona tunapiga nae mvinyo huku bahari beach. Ni mzee poa sana, ana makazi yake ras kilomoni, beach residence. Ni jirani yangu na watoto wake andrew (Dru ) na Justine ni washkaji sana tu. Hii family iko humble sana.
 
Duu huyo kweli katumia vyema elimu yake,kuna watu wana viCpa vyao huko serikalini wanajiona miungu watu
 
Duu huyo kweli katumia vyema elimu yake,kuna watu wana viCpa vyao huko serikalini wanajiona miungu watu

Wengi wanajisahau mkuu. Kuajiriwa mpaka unastaafu bila kuanzisha kitu chako ni ulimbukeni wa hali ya juu. Wengi wanaishia kujenga majumba makubwa kwa mkopo na magari makubwa, wakistaafu wanakuwa chali kama kifo cha mende
 
Ernest Massawe ni msomi,aligraduate university of East Africa (Nairobi) kitaaambo sana,then akapata ACCA,akaanzisha kampuni yake ya auditing,Massawe Ernest auditing firm ndio bwana young akaja wakaunganisha nguvu mpaka kampuni imekuwa kubwa na yeye ndio chairman kwa africa mashariki,anamiliki makampuni mengi na ameihusisha familia yake kwa ukaribusana sababu ni wasomi wakubwa pia,sasa ni chairman wa swala!

Mkuu, penye mikolezo umekosea. Hiyo kampuni inaitwa Ernst (sio Ernest) & Young (kwa sasa EY tu). Ni kampuni ya zamani sana ya Marekani/Uingereza. Huyo Massawe alifanya kazi sana huko ujanani kwake. Nadhani bado ni partner ila si mwanzilishi wa hiyo EY.
 
Mkuu, penye mikolezo umekosea. Hiyo kampuni inaitwa Ernst (sio Ernest) & Young (kwa sasa EY tu). Ni kampuni ya zamani sana ya Marekani/Uingereza. Huyo Massawe alifanya kazi sana huko ujanani kwake. Nadhani bado ni partner ila si mwanzilishi wa hiyo EY.

Hata mimi nilishangaa kampuni ilikuwepo tangu mwaka 1839 huyu jamaa kafanya nao merger lini?
 
Hebu naombeni kumfahamu huyu jamaa anaitwa Ernest Massawe, mfanyabiashara wa kitanzania. Ndiyo mwenyekiti wa Swala Oil and Gas Tanzania. Inasemekana huyu jamaa ana makampuni mengi tu ya madini na kwamba ana ukaribu sana na watu wa system.
Hizo ni tetesi, hebu leteni ukweli wa mambo haya!

Ni jirani yangu pale Rombo, nakumbuka mashine za kusaga mazao pale kwake, ni pete na kidole na Bazili Mramba,.. Ana skendo nyingiii tuu...
 
Kilimanjaro mining ni Kati ya makampuni makubwa ya uchimbaji wa madini aina ya tanzanite huko merarani ikimilikiwa na Ernest masawe akishirikiana na pesa mbili pia ni wamiliki wa Akiba commercial bank wana mahotel makubwa ya kitalii ilikiwemo lake chala hotel kwa kifupi ni wala nchi.

Jadilini the so called wawekezaji wa nje ambao wanapora mali zetu au wamegeuza tz shamba la bibi.
 
Miaka 52 ya Uhuru, kwenye karne ya 21 bado watanzania tunaona ufahari kujadili nafsi na majina ya watu wakati hatuna umeme wa uhakika, maji safi na salama, barabara bora, hospitali kuu ya taifa wagonjwa bado wanalala chini. Kweli umaskini ni ugonjwa na wala si kuwa na akili ndogo.

Kweli unajiona umeandika jambo la maana? Maana hayo yote uloponda yanakuhusu ndio unayajua au?
 
Back
Top Bottom