MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.