Huyu Dk Bana katumwa na nani?

MBUFYA

JF-Expert Member
Aug 15, 2011
445
68
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.
 
Huyo kama kabudi achana nao kwanza tunahoji hata hizo phd walizipataje labda kwa kudesa wao wanatanguliza ukada zaidi kuliko weledi wa kitaaluma
 
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.

Hawa jamaa ni kama Palamagamba Kabudi.....
 
Huyu mzee sijui dk kweli wa phd au ni kama wa mkuu wa nji, mana kilaza sana mzee huyu mganga njaa 2 nae
 
Huyo kama kabudi achana nao kwanza tunahoji hata hizo phd walizipataje labda kwa kudesa wao wanatanguliza ukada zaidi kuliko weledi wa kitaaluma
Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.
 
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.

ukiona hivyo basi ujue anavizia ujumbe wa tume ya katiba kwahiyo anachokifanya ni kujiuza kwa wahusika ili wamsikie basi itakavyofika wakati basi wamwite naye apate kuendeleza njaa zake. anaweza kuwa amesoma lakini hakuelimika. kusema tu chadema wamevunja sheria bila kusema ni sheria gani waliovunjwa ni dalili mbaya kuwa anaweza kuwa amesoma lakini hakuelimika.
 
tatizo la wafuasi wa chadema wengi bado wajinga wa siasa wao wanavyotaka kila mtu awe chadema, na huwa hawataki kupingwa, kwao hoja ya nguvu badala nguvu ya hoja.
 
tatizo la wafuasi wa chadema wengi bado wajinga wa siasa wao wanavyotaka kila mtu awe chadema, na huwa hawataki kupingwa, kwao hoja ya nguvu badala nguvu ya hoja.
Ngoja waje wakujibu wengine, maana mimi nikikujibu huu ugoro wako nitapata ban
 
Huyu dr. bana angeanza kwa kumlaumu spika kwa kutowachukulia hatua wabunge waliotoka nje kama kweli anaamini wamevunja sheria za bunge! na kwa maana yake ni kuwa spika kashindwa kusimamia bunge au yeye ndo ajuaye saaaana sheria za bunge kuliko spika na wabunge!
 
Nimemsikia asubuhi,

Kweli ni masikitiko makubwa juu huyu mpotoshaji!sijui kazaliwa wapi na haya maneno anayasema akijiamini nini.

Labda nianze kwa kusema, tanzania na hasa katika bunge, hakuna hoja kwa miaka ya hivi karibuni, imepitishwa kwa vigezo vya hoja zilizotolewa na wabunge badala la kelele za kishabiki na kukidhi matakwa yao! Utamaduni upi wa mtanzania anaoueleza, nani hajui utamaduni wa sasa uliojengwa na watawala na kuasi utamaduni wa viongozi wetu waasisi wa nchi! Alienda mbali na kugusia suala la wananchi kuamua juu ya hili, na kweli sisi tutaamua kwani wanachokifanya chadema ni kitenda cha kiungwana kuwasilisha dukuduku lao kwa wananchi, sisi ndo kimbilio lao kwani vyombo husika kama kamati za bunge zimekuwa zikiegamia upande mmoja na hili liko wazi, aliwataka wafanye nini?

Kaenda mbali zaidi kaongelea suala la hoja kama zinakataliwa au hawapewi nafasi inabidi wamfate speaker na kumueleza hivi huyu jamaa vip? Wamfate mara ngapi na kanuni na taratibu za bunge zinasemaje kuhusu hili, mara ngapi amewapuuza juu ya haya maswala, bunge linaamua mambo kwa hoja, bunge hili nilijualo mimi?sio kelele za ndiyoo!je kama watu ni wachache inakaaje hii?tuna vigezo vya kuamua jambo ndani ya bunge kwa kupima uzito wa hoja hapa??? Mbona usomi unaupaka matope bwana benso bana, mbona unajipunguzia credit zako na uwered wako juu ya kutetea uozo na ushenzi unaofanywa na ccm na speaker wao,

umeulizwa swali juu ya upendeleo wa speaker na sikuona jambo la msingi ulililo liongea juu ya hili badala yake umekwepa na kuongelea mambo ya ajabu, je ni wangapi wapo kijiweni na hawana elimu hata ya std 7 lakini huu upendeleo wanauona, kama kweli wewe ni mtaalam wa sayansi ya siasa mbona umeshindwa kulisemea hili??

Wewe ni kada pamoja na unafiki wako kujifanya unatoa maoni na kushauri mambo ya kisiasa nchi, msomi ninayemwamini aliyetukuka na heshima yake itakuwa palepale ni profesa issa shivji, siku zote huyu mzee hamung'unyi jambo na ndo maana serikali hawamtumiii, yeye ndo mtaalam wa sheria na katiba tangu enzi za sokoine na baba wa taifa, je usomi wake umeteteleka wapi hadi nchi ishindwe kumtumia katika kipindi hiki?wanaogopa na kuwatumia watu kama bana wenye mtazamo wa karibu na utetezi wa walanguzi wa nchi yetu.

Matatizo ya hii nchi yanapigiliwa msumari na wasomi kama hawa, mbona hakuongelea utovu wa nidham wa wabunge wa ssm waliotumia muda wa walipa kodi kuzungumza kukashifu na kuwatukana chadema huku speaker wao akiweka mikono yote miwili kwenye kidevu?hilo hakuliona kuwa na utovu wa nidhamu?tumewatuma waende kufanya mipasho ndani ya jengo wanaliliita tukufu?utukufu wa jengo ni upi hai waliomo ni makafiri, hakuna dhambi mbaya kama kuwadhurum wananchi, kuwatapeli na kuwasaliti wapiga kura!hayo hayaoni anaona la chadema tu. Huyu mtu anatakiwa kutangazwa kuwa moja ya watu hatari wa kisisa za nchi yetu!
 
Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.
Pasco,

Tuko pamoja sana katika hili.

Tiba
 
Lazma atakua natumia neno ''Nadhani,,," au " I thing,,".

Hajui maneno mengine zaidi ya hayo.
 
Nimemsikia asubuhi,

Kweli ni masikitiko makubwa juu huyu mpotoshaji!sijui kazaliwa wapi na haya maneno anayasema akijiamini nini.

Labda nianze kwa kusema, tanzania na hasa katika bunge, hakuna hoja kwa miaka ya hivi karibuni, imepitishwa kwa vigezo vya hoja zilizotolewa na wabunge badala la kelele za kishabiki na kukidhi matakwa yao! Utamaduni upi wa mtanzania anaoueleza, nani hajui utamaduni wa sasa uliojengwa na watawala na kuasi utamaduni wa viongozi wetu waasisi wa nchi! Alienda mbali na kugusia suala la wananchi kuamua juu ya hili, na kweli sisi tutaamua kwani wanachokifanya chadema ni kitenda cha kiungwana kuwasilisha dukuduku lao kwa wananchi, sisi ndo kimbilio lao kwani vyombo husika kama kamati za bunge zimekuwa zikiegamia upande mmoja na hili liko wazi, aliwataka wafanye nini?

Kaenda mbali zaidi kaongelea suala la hoja kama zinakataliwa au hawapewi nafasi inabidi wamfate speaker na kumueleza hivi huyu jamaa vip? Wamfate mara ngapi na kanuni na taratibu za bunge zinasemaje kuhusu hili, mara ngapi amewapuuza juu ya haya maswala, bunge linaamua mambo kwa hoja, bunge hili nilijualo mimi?sio kelele za ndiyoo!je kama watu ni wachache inakaaje hii?tuna vigezo vya kuamua jambo ndani ya bunge kwa kupima uzito wa hoja hapa??? Mbona usomi unaupaka matope bwana benso bana, mbona unajipunguzia credit zako na uwered wako juu ya kutetea uozo na ushenzi unaofanywa na ccm na speaker wao,

umeulizwa swali juu ya upendeleo wa speaker na sikuona jambo la msingi ulililo liongea juu ya hili badala yake umekwepa na kuongelea mambo ya ajabu, je ni wangapi wapo kijiweni na hawana elimu hata ya std 7 lakini huu upendeleo wanauona, kama kweli wewe ni mtaalam wa sayansi ya siasa mbona umeshindwa kulisemea hili??

Wewe ni kada pamoja na unafiki wako kujifanya unatoa maoni na kushauri mambo ya kisiasa nchi, msomi ninayemwamini aliyetukuka na heshima yake itakuwa palepale ni profesa issa shivji, siku zote huyu mzee hamung'unyi jambo na ndo maana serikali hawamtumiii, yeye ndo mtaalam wa sheria na katiba tangu enzi za sokoine na baba wa taifa, je usomi wake umeteteleka wapi hadi nchi ishindwe kumtumia katika kipindi hiki?wanaogopa na kuwatumia watu kama bana wenye mtazamo wa karibu na utetezi wa walanguzi wa nchi yetu.

Matatizo ya hii nchi yanapigiliwa msumari na wasomi kama hawa, mbona hakuongelea utovu wa nidham wa wabunge wa ssm waliotumia muda wa walipa kodi kuzungumza kukashifu na kuwatukana chadema huku speaker wao akiweka mikono yote miwili kwenye kidevu?hilo hakuliona kuwa na utovu wa nidhamu?tumewatuma waende kufanya mipasho ndani ya jengo wanaliliita tukufu?utukufu wa jengo ni upi hai waliomo ni makafiri, hakuna dhambi mbaya kama kuwadhurum wananchi, kuwatapeli na kuwasaliti wapiga kura!hayo hayaoni anaona la chadema tu. Huyu mtu anatakiwa kutangazwa kuwa moja ya watu hatari wa kisisa za nchi yetu!

Afadhali umemueleza vizuri. Siku zote huyu mtu anayeitwa Dr. Bana amekuwa akinipa maswali kichwani kuhusu huo u-dr wake amaupatapataje, maana maongezi yake ya kila mara yanatia shaka kwa kile kilichoko kichwani mwake. Siku zote amekuwa akiongea pumba kuliko kawaida. Ukweli ni kwamba hata wahadhiri wenzake pale mlimani wanamponda sana. Hapa jf unaweza kumlinganisha na akina rejao, faizafoxy, mzee, fiksiman, zakazaka kwa kuwataja wachache. Hawa wanapochangia jambo lolote ndipo unapoelewa kuwa watanganyika wengi bado wana mawazo mgando na kwa kweli kazi kubwa inatakiwa kuwaamsha watu kama hawa.
 
Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.

Good analysis mkuu
 
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.

Magamba kazini!
 
tatizo la wafuasi wa chadema wengi bado wajinga wa siasa wao wanavyotaka kila mtu awe chadema, na huwa hawataki kupingwa, kwao hoja ya nguvu badala nguvu ya hoja.

Mkuu wewe mtizamo wako ni upi juu ya sredi hii? Sio unaongea pumba tuu
 
Back
Top Bottom