Huyu Dk Bana katumwa na nani?

Huyu Dk Bana katumwa na nani?

Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.
inabidi tuingie msituni tutafute chanjo ya uzalendo kwa baadhi ya wasomi wetu how come jamani msomi kama huyu anatumika kweli ndio kukomboka kifikra huku mweeeeeeeeh
 
Afadhali umemueleza vizuri. Siku zote huyu mtu anayeitwa Dr. Bana amekuwa akinipa maswali kichwani kuhusu huo u-dr wake amaupatapataje, maana maongezi yake ya kila mara yanatia shaka kwa kile kilichoko kichwani mwake. Siku zote amekuwa akiongea pumba kuliko kawaida. Ukweli ni kwamba hata wahadhiri wenzake pale mlimani wanamponda sana. Hapa jf unaweza kumlinganisha na akina rejao, faizafoxy, mzee, fiksiman, zakazaka kwa kuwataja wachache. Hawa wanapochangia jambo lolote ndipo unapoelewa kuwa watanganyika wengi bado wana mawazo mgando na kwa kweli kazi kubwa inatakiwa kuwaamsha watu kama hawa.
Shenkalwa, Dr. Bana ni dr wa ukweli na Ph.D yake ni ya halali, huyu ndie mkuu wa Redet, yeye na Prof. Mkandara, baada ya kuifayia CCM kazi nzuri kwenye tafiti zao, Mkandara kesha kuwa rewarded u VC bado Bana.

Pia Dr. Bana namfahamu vizuri kwenye siasa za pale chuo, ni kama Mkandara, Kabudi na Mwakyembe, wamejimbambanua wako upande gani. Wengine wanashabikia CCM kwa uzalendo wa dhati kwa ajili ya kuutunza utaifa (nationalism), kwa vile wapinzani hawajaonyesha ukomavu wa siasa wa kuweza kukabidhiwa dola!.

Nawaombeni sana wana JF wenzangu, tusiwabeze wenzetu kwa sababu ya misimamo na mitazamo yao ya kisiasa, tuzibeze hoja zao kwa hoja mbadala. Kwangu mimi hata baadhi ya hoja za kina Malaria Sugu, Faiza Fox na Rejao, zina mashiko kama utazisoma ukiwa outside the box.

Tatizo letu kubwa humu jukwaani, wengi wetu tuko ndani ya mabox tuliomo huku tukiyatazama yale mabox mengine wengine waliomo, hivyo hoja yoyote toka nje ya box tuliomo tunaiona kama sio hoja. Ili kupata view nzuri, tokeni kwanza nje ya hayo mabox ilijifungia na mtazame hoja kama hoja regardless imeleta hoja, ameegemea wapi!
 
tunachikiongea lazima tuweze kujustfy mwisho wa siku, na kama unaongea kisomi basi onesha element za usomi kwenye maneno yako na si kupotosha umma kama anavyofanya BANA, utamaduni upi aliokuwa anauongelea??ebu fikiria hili, kutokana na serikali kuwa kiziwi muda mrefu sana watu wamezoa migomo na maandamano kushinikiza mambo yafanyike tangu enzi na enzi na huu mfumo umerithiwa toka vyuoni na sasa unaonekana mbele ya wengi kutatua matatizo mengi kwani sisi hatuna viongozi tuna watawala na tabia za watawala ni kama yanayoendelea tanzania, leader always show the way na si kufuata, je yeye kakulia wapi???hizi ndo atahri za haya mambo!mambo yangekuwa yanataturiwa kwa njia zinazokubaliwa nadhani migomo, demonstrations tunazoziona toka jukwaa a siasa hadi vyuoni na maofisi tusingeyaona!ASIPOTOSHE UMMA NA USOMI WAKE!

KUNA MWANAFALSAFA ALISEMA, UKIWA UMESOMA NA UKAONESHA MATUNDA MAZURI MBELE YA UMMA BASI NI KWELI UMEELIMIKA ILA KAMA UMESOMA NA BADO HUONESHI CHOCHOTE MBELE YA UMMA NA JAMII UNAYOKAA BASI UNAHESABIKA KAMA HUJASOMA, BANA SIJUI KAMA AMESOMA!
 
Yupo kazini.
Ni mmojawapo kwenye system.
Sina shaka umenipata.
 
Shenkalwa, Dr. Bana ni dr wa ukweli na Ph.D yake ni ya halali, huyu ndie mkuu wa Redet, yeye na Prof. Mkandara, baada ya kuifayia CCM kazi nzuri kwenye tafiti zao, Mkandara kesha kuwa rewarded u VC bado Bana.

Pia Dr. Bana namfahamu vizuri kwenye siasa za pale chuo, ni kama Mkandara, Kabudi na Mwakyembe, wamejimbambanua wako upande gani. Wengine wanashabikia CCM kwa uzalendo wa dhati kwa ajili ya kuutunza utaifa (nationalism), kwa vile wapinzani hawajaonyesha ukomavu wa siasa wa kuweza kukabidhiwa dola!.

Nawaombeni sana wana JF wenzangu, tusiwabeze wenzetu kwa sababu ya misimamo na mitazamo yao ya kisiasa, tuzibeze hoja zao kwa hoja mbadala. Kwangu mimi hata baadhi ya hoja za kina Malaria Sugu, Faiza Fox na Rejao, zina mashiko kama utazisoma ukiwa outside the box.

Tatizo letu kubwa humu jukwaani, wengi wetu tuko ndani ya mabox tuliomo huku tukiyatazama yale mabox mengine wengine waliomo, hivyo hoja yoyote toka nje ya box tuliomo tunaiona kama sio hoja. Ili kupata view nzuri, tokeni kwanza nje ya hayo mabox ilijifungia na mtazame hoja kama hoja regardless imeleta hoja, ameegemea wapi!

Sipendi kubishana na wewe ila kwangu mimi usomi uwe umebobea au umepita katika madarasa utaonekana katika maneno na matendo. Usomi wa kwenye makaratasi ambao hauna matunda huo hauna tija kwa taifa hili. Unapokuwa msomi unatakiwa uonekane katika matendo na maneno kuwa wewe ni msomi. Usomi wa kujipendekeza kwa watawala na kuongea pumba unadhalilisha na taaluma yenyewe. Hiyo REDET anayoiongoza wenzake huwa wanamu-"ignore" katika masuala mbalimbali kwa sababu ya tabia yake ya kujipendekeza. Kama sio wasomi wengine kama Marehemu Prof. Mushi na wengineo ndiyo waliisimamisha REDET. Kuna wasomi ambao huwezi kuwa na maswali na utendaji wao kwa sababu wanazungumza na kutenda kama wasomi. Wachache wao ni kama Prof. Shivji, Prof. Baregu, Dr. Lweitama na wengine ambao ni tofauti na Dr. Bana. Nakumbuka wakati fulani alishiriki katika kipindi cha "Kipima Joto" kinachorushwa na ITV katika mada moja hivi, alipata wakati mgumu sana wakati waliporuhusu watazamaji kupiga simu na kuuliza maswali. Kwa hiyo huyu sio Dr. wa ukweli kama unavyomuona wewe.
 
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.
Masaburi tu!
 
Huyu mzee sijui dk kweli wa phd au ni kama wa mkuu wa nji, mana kilaza sana mzee huyu mganga njaa 2 nae
Tunayemjua CV yake hatushangai...elimu yake ni ya kuunga unga sana, ameanzia ualimu wa shule ya msingi, na hapo UDSM sio kwamba ni kichwa, kabebwa na ndugu yake Mkandara kamuweka REDET ili apate platform ya kuongelea bada ya yy Mkandara kupewa umakamu mkuu wa chuo. Hana lolote zaidi ya kupenda kula misosi. Magamba wanamtumia through boss wake Mkandara because he is very cheap unaweza ukamnunua kwa sahani ya pilau tu.
 
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.

Wakiziba wanajulikana kwa kujifanya wajuaji wa kila kitu. Just ignore him felas.
 
mbona shivji naye ni dr lakini haongei uharo kama hili mal*ya la vyeo?
 
Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.

Pasco, ungeishia 1st paragraph, ungestahili mayai vinza. Hawa ndo wasomi wetu Tanzania, wanaganga sana njaa. Ni bora umchukue muuza mitumba karume atatoa mawazo huru, siyo hao wanaojiita wasomi waganga njaa.
 
Huyo kama kabudi achana nao kwanza tunahoji hata hizo phd walizipataje labda kwa kudesa wao wanatanguliza ukada zaidi kuliko weledi wa
kitaaluma

Hilo ndilo tatizo la CHADEMA aka makombati. Mtu akitofautiana nanyi kimtazamo eti ni kada wa CCM! Baadhi ya wana-CHADEMA ni wapuuzi kabisa. Tusubitril ui
 
Nakerwa sana na hii tabia ya vitoto vya Chadema, wao wanataka kila mtu awe na mawazo yanayoendana na uchadema! Huu ni upuuzi na ukosefu wa demokrasia na uvumilivu...lazima uruhusu watu watofautiane huu ndio utajiri wenyeweb wa uumbaji! Mtu akitofautiana na Chadema wanaanza kuhoji usomi wake na kusema lete CV....

Ukiawambia na nyinyi leteni CV za Mbowe, Mnyika, Lema kubenea and co..utaambiwa CV hazimati! Afadhali mimi sijatekwa na huu ujinga unaoitwa Chadema!
 
nasikiliza kipindi cha morning magic kupitia magic FM, namuona huyu doc anaongea utadhani ametumwa vile, analaani kitendo cha chadema kutoka nje, anasema kitendo hicho kina kiuka maadili ya mtanzania na kuvunja sheria za bunge. pia amefunguka zaidi kusema kuwa kumlalamikia spika kuwa anapendelea upande flani ni uongo kwani anafuata sheria za bunge.

Pengine na yeye anataka kujaribu bahati yake kama profesa paramagamba kabudi, juzi katetea mchakato wa kurekebisha sheria na leo katambulishwa bungeni na mkt mhagama.

mkakati uliopo ni wa kumfanya awe mwenyekiti wa kurekebisha katiba ya tanzania. kwa akili ya ******, huyo ndo candidate wake wa uenyekiti wa hiyo kamati
 
Nakerwa sana na hii tabia ya vitoto vya Chadema, wao wanataka kila mtu awe na mawazo yanayoendana na uchadema! Huu ni upuuzi na ukosefu wa demokrasia na uvumilivu...lazima uruhusu watu watofautiane huu ndio utajiri wenyeweb wa uumbaji! Mtu akitofautiana na Chadema wanaanza kuhoji usomi wake na kusema lete CV....

Ukiawambia na nyinyi leteni CV za Mbowe, Mnyika, Lema kubenea and co..utaambiwa CV hazimati! Afadhali mimi sijatekwa na huu ujinga unaoitwa Chadema!

red and bolded: wana jf tikiti maji lingine hili!
 
ukiona hivyo basi ujue anavizia ujumbe wa tume ya katiba kwahiyo anachokifanya ni kujiuza kwa wahusika ili wamsikie basi itakavyofika wakati basi wamwite naye apate kuendeleza njaa zake. anaweza kuwa amesoma lakini hakuelimika. kusema tu chadema wamevunja sheria bila kusema ni sheria gani waliovunjwa ni dalili mbaya kuwa anaweza kuwa amesoma lakini hakuelimika.

Kwa maelezo ya wanaJF, huyo Prof. 'kiparaMagamba Yabundi' alikuwa anakalili na kusomea peper tu, hakuelewa chochote zaidi alilenga kupata utukufu wa Ph D lakini aliambulia "pH d"
 
Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.

pasco, nadhani hujasahau pia kuwa hizo kwenye red hapo juu huwa zinachakachuliwa. tena sana tu!
 
Kwa taarifa tuu, Prof. Palamagamba Kabudi, ndie mwanafunzi pekee, wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, aliyewahi kupata GPA ya juu zaidi tangu chuo kikuu cha Dar es Salaam kuanzishwa miaka 50 iliyopita, yeye alipata GPA 4.8 ambayo haikuweza kupatikana tena na mtihani wa mwisho, alifumua A+ 6, A ya kawaida 1 na B+ moja!. Hivyo Ph.D yake ni ya halali!.

Kupata 1st class ni jambo moja, kuwa na Ph.D ni jambo jingine, lakine kuwa mzuri kwenye field, ni jambo jingine kabisa. Nimrod Mkono, ana pass tuu lakini ndie anaemiliki kampuni kubwa na tajiri kuliko zote za uwakili Tanzania, wakati huyo Kabudi, na 1st Class yake, na Ph.D yake, hajawahi kusimama mahakamani na kushinda kesi yoyote!.

Prof. Issa Shivji ni mmoja wa mabingwa wa katiba, na ameandika mengi kuhusu katiba ikiwemo ukosoaji wa katiba yetu ya mwaka 1977 na jinsi Muungano ulivyokiuka katiba. Serikali imeepuka kumtumia huyu kama mwelekezi kwa sababu atasema ukweli mchungu, badala yake inamtumia Kabudi ili aendelee kuupaka siagi ule mkate wao wa kila siku!.

Mkuu Pasco sihitaji kuhoji uhalali wa PhD ya Palamagamba kwani ninaamini fika kuwa UDSM ni chuo ambacho kina credibility 100% katika suala la wakufunzi wake, hivyo Palamagamba kuwa Professor of UDSM ni dhahiri anaqualify kama academician. Suala ninalotaka kujua ni je Thesis yake ameandikia kwenye nini hasa, maana A+ au GPA ya 4.8 ni level ya Undergraduate ambayo sidhani kama inamfanya mtu awe na PhD.

GPA ya juu si kigezo kwamba wewe ni nguli kwenye eneo lako kama ulivyoelevya hapo chini, ila ni academic achievement tu. Philophers believe that 'Education without application is useless' na kwa kuwa huyu jamaa unasema kuwa hajawahi kupanda kizimbani hata siku moja ku-argue case ni dhahiri kuwa practically ni impotent, na kwa maana hiyo hiyo kama hawezi kutumia ubongo wake ambao kumbukumbu za academic achievement zinaonesha ulikuwa sharp katika kuanalyse makaratasi ya maswali yanayotaka majibu (Mitihani) kuna uwezekano mkubwa sana aging imepunguza uwezo wake na hivyo vyeti vyake kuwa obsolete. Kuna wazee walipata A za hesabu wakati wa mkoloni leo hii hawajui hata computer inafanyaje kazi.

Huyu Kabudi ninamuweka kwenye kundi la Frustrated elites kama mwalimu mmoja wa Communication Skills UDSM ambao jua linakuchwa hawana la maana walilolifanya kwenye maisha yao ya ualimu na hivyo kujikuta ana compromise taalum ili atupiwe makombo na watawala.
 
Nakerwa sana na hii tabia ya vitoto vya Chadema, wao wanataka kila mtu awe na mawazo yanayoendana na uchadema! Huu ni upuuzi na ukosefu wa demokrasia na uvumilivu...lazima uruhusu watu watofautiane huu ndio utajiri wenyeweb wa uumbaji! Mtu akitofautiana na Chadema wanaanza kuhoji usomi wake na kusema lete CV....

Ukiawambia na nyinyi leteni CV za Mbowe, Mnyika, Lema kubenea and co..utaambiwa CV hazimati! Afadhali mimi sijatekwa na huu ujinga unaoitwa Chadema!

Wewe nilazima utakuwa mzee na umekulia katika mfumo wa chama kimoja (Utii na heshima). Endelea na uvumilivu wako. Unaongelea demokrasia ipi uliyonayo?.
 
Banna ndiye atakaye teuliwa kusimamia tume ya kuratibu mchakato wa katiba

Hafai kabisa huyu. Mtu mwenye msimamo mkali kiasi hiki dhidi ya CDM hafai kabisa kuratibu huu mchakato wa kupata katiba mpya. Watanzania tumpinge kwa nguvu zetu zote. Kuendelea kwake kuratibu huo mchakato ni kutahakikisha kwamba katiba mpya inachakachuliwa na kuandikwa katika mtazamo wa magamba ili waendelee kuwa madarakani milele.
 
Back
Top Bottom