The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,502
- 2,046
Diwani wa kata ya Mtoni wilayani Temeke,Benard Mwakyembe amefanya ziara ya kushtukiza ktk shule ya Mtongani na dispensari ya Mtongani na kutoa maagizo lukuki ikiwemo kuagiza walimu wasitoze michango alafu ameagiza wahudumu wa afya wafanye kazi masaa 24 siku zote za wiki.
Je, diwani kapata wapi mamlaka ya kuagiza watumishi wa serikali?
Je, diwani kapata wapi mamlaka ya kuagiza watumishi wa serikali?