Huyu demu vipi ?

Huyu demu vipi ?

SOKONI

Senior Member
Joined
May 23, 2013
Posts
171
Reaction score
40
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri
 
Hapa mtaani kwetu kuna mwanamama ni kichaa naye ukimwambia afunue sketi huwa anafunua, ukimwambia aonyeshe nyonyo pia wala huwa hana hiyana.

Adios...
Jirani Si yule wa pale gengeni?
 
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri

kwa hiyo hicho ndicho ulichoenda kufuata huko ofisi mkuu,.

Endelea na tabia zako tu ila ujue unachofanya ni sawa na kumvua dada yako ama mzazi wako nguo ili upate kuona utupu wake!!

Vijana wa siku hizi wamethamini mapenzi kuliko hata kazi,. Unamkuta mtu kazunguka na bahasha mpaka soli ya kiatu imekwisha na akipata kazi anajisahau anafanya madudu kama haya,...





Shame!!!
 
Wazee kuna demu mmoja ofisini simsomi kabisa,sijamuomba mzigo lakini namtania tania tu,nionyeshe mapaja daa! demu anafunua kwa kuringaringa,nikimwambia naomba nione tumbo lako anazuga kisha anafunua blauzi kama ananitania. Sijui kakolea ? Naombeni ushauri

hebu mwambie akuonyeshe eeermm nanihiii....
 
Hapa mtaani kwetu kuna mwanamama ni kichaa naye ukimwambia afunue sketi huwa anafunua, ukimwambia aonyeshe nyonyo pia wala huwa hana hiyana.

Adios...

kumbe mademu ni vichaa,dah leo nimejifunza kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom