Heri lee
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 981
- 528
Mm nimeanza chuo juzi tu nilikutana na demu flani tunasoma nae koz moja tulizoeana in deeep sana sana na kuchat sana sa juz bana aliniomba kitu flani but kilikiwa nje ya uweza wangu kaabisaa kabisa eti kusikia hivyo haongei na mimi,haitikii salamu,akiniona tu anavimba sura hata tukiwa assigment group hataki hata kuniona na kuandika maoni yangu mimi sielewi bana nduguz