Kwani boom halijatoka si umnunulie tu yaishe, urafiki wenu urudi deeep kama zamani?
Ni mimi ndo unaniita kaka?!no kaka, usibebe mzigo usio na uwezo ano
em sema ukweli bana, huyo ni shem ama ndiye mwenye maliasili yako?
kwani mi naongelea ushemeji hapa bana, Phlagiey mi najua ndo mwenye everything kwako...
Ye kwangu ndio everything, ila mi kwake ni mchepuko....
Yaani hiyo hela unapiga changudoa kama 35 hiviOkey aliniomba nimnunulie simu flan hivi ni smartphone flain hv ya sumsung ilikuwa ni sh 350,000