kalamu na karatasi
Member
- Jul 26, 2015
- 49
- 30
Wakuu habarini humu
Kama wik mbil zimepita kuna ofisi moja Maaruf sana hapa Mji wa Mawe aka Roku siti,Kuna Brother wangu ambae Hapo ni Meneja...Sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea Vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia Kazi Sikumjibu ukweli nikamwambia ni Mambo Binafsi.
Sasa nashukuru Nimepata hyo Nafasi na Bahat nzuri namimi nimepewa Cheo,ambapo huy Dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi...Maana alinipokea kwa Nyodo sana.
Mwaonaje Wakuu...??
Wakuu habarini humu
Kama wik mbil zimepita kuna ofisi moja Maaruf sana hapa Mji wa Mawe aka Roku siti,Kuna Brother wangu ambae Hapo ni Meneja...Sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea Vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia Kazi Sikumjibu ukweli nikamwambia ni Mambo Binafsi.
Sasa nashukuru Nimepata hyo Nafasi na Bahat nzuri namimi nimepewa Cheo,ambapo huy Dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi...Maana alinipokea kwa Nyodo sana.
Mwaonaje Wakuu...??
mtongoze.. acha roho mbaya wewe umewekwa bado unataka kuleta shida .
Nawachukia sana watu wanaoingia ofisini kwa migongo ya ndugu zao badala ya vigezo. Umekosa aibu hata unajisema mbele za watu. Kwa hiyo kwa kuwa kaka yako ni meneje pale ulitaka sekretari akupokee na mabusu?!
Shame on you.....CCM mkubwa we!
huyu chalii ni tatizoUnampoteza mwenzio
Wakuu habarini humu
Kama wik mbil zimepita kuna ofisi moja Maaruf sana hapa Mji wa Mawe aka Roku siti,Kuna Brother wangu ambae Hapo ni Meneja...Sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea Vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia Kazi Sikumjibu ukweli nikamwambia ni Mambo Binafsi.
Sasa nashukuru Nimepata hyo Nafasi na Bahat nzuri namimi nimepewa Cheo,ambapo huy Dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi...Maana alinipokea kwa Nyodo sana.
Mwaonaje Wakuu...??
Wakuu habarini humu
Kama wik mbil zimepita kuna ofisi moja Maaruf sana hapa Mji wa Mawe aka Roku siti,Kuna Brother wangu ambae Hapo ni Meneja...Sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea Vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia Kazi Sikumjibu ukweli nikamwambia ni Mambo Binafsi.
Sasa nashukuru Nimepata hyo Nafasi na Bahat nzuri namimi nimepewa Cheo,ambapo huy Dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi...Maana alinipokea kwa Nyodo sana.
Mwaonaje Wakuu...??
huyu chalii ni tatizo