Huyu dada mi navutiwa naye!

Huyu dada mi navutiwa naye!

Babu tunamalizana sie kwanza aafu wazazi baadaye. Mkia wa kondoo utaletewa lakini, usihofu!


Naogopa kukusababishia ugonjwa wa moyo.... ila endelea kujitahidi ili walau ufikie namba 10 kwenye list ya Babu!

Babu DC!!
 
dah very good Amu,ulivyomitikia hapa mwenzetu lazima apate usingizi na ndoto Mwanana!

Yaani, roho yangu nyeupeee! Hapa nilipo nabatasamu tu. Bahati mbaya mi mlinzi na leo niko zamu naogopa kulala, bosi wetu huwa anavizia usiku! Ntalala kesho laki ili kulipiza.
 
ila mapenzi bana!!

yani watu ambao ni Invisible kabisa wanapendana namna hii!!

sasa sijui watazaa vipi watoto? ama love hii ni kwa luxury?

actually... nawatakia kila heri amu vs Nyalotsi!

please have a romantic day you too!!!
 
Last edited by a moderator:
Huwa nashindwa kuelewa aina hii ya utongozaji especially sredi ikianzishwa jukwaa tofauti na chit chat...
 
ila mapenzi bana!!

yani watu ambao ni Invisible kabisa wanapendana namna hii!!

sasa sijui watazaa vipi watoto? ama love hii ni kwa luxury?

actually... nawatakia kila heri amu vs Nyalotsi!

please have a romantic day you too!!!

Haya makitu acha kama yalivyo. BTW thanks for your wishes. Ngoja niendelee kukomaa na huyu mwanamke. Simuwachi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Haya makitu acha kama yalivyo. BTW thanks for your wishes. Ngoja niendelee kukomaa na huyu mwanamke. Simuwachi kabisa.

haya haya mkuu!!

nakutakia all the besti katika hii personally yako na amu..!!

sasa amu, hebu burudike kwa huu wimbo na mr Nyalotsi!

amekuona bana ''what you do intentionally...!!



burudikeni jamani...! kitakachopungua.. nitafuteni!!
 
Last edited by a moderator:
mwaka mpya na mambo.................................????:llama:
 
haya haya mkuu!!

nakutakia all the besti katika hii personally yako na amu..!!

sasa amu, hebu burudike kwa huu wimbo na mr Nyalotsi!

amekuona bana ''what you do intentionally...!!



burudikeni jamani...! kitakachopungua.. nitafuteni!!


Mkuu bahati mbaya natumia kamchina, nimeshindwa kuburudika. amu njoo uburudike uniletee na mie utamu kwa njia ya mnururisho! Teh!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom