Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
- Thread starter
- #81
Huwa nashindwa kuelewa aina hii ya utongozaji especially sredi ikianzishwa jukwaa tofauti na chit chat...
Mkuu mimi sipo ki cc, huyu dada bhana moyo wangu umemdondokea. Ni kutokana na yale anayoyaandika humu ndio yameifanya brain yangu kumjengea picha ya mtu wa ina fulani na kuvutiwa naye pia. amu nifikirie tu mimi kwenye mtima wako!
Last edited by a moderator: