Huyu dada mi navutiwa naye!

Huyu dada mi navutiwa naye!

Huwa nashindwa kuelewa aina hii ya utongozaji especially sredi ikianzishwa jukwaa tofauti na chit chat...

Mkuu mimi sipo ki cc, huyu dada bhana moyo wangu umemdondokea. Ni kutokana na yale anayoyaandika humu ndio yameifanya brain yangu kumjengea picha ya mtu wa ina fulani na kuvutiwa naye pia. amu nifikirie tu mimi kwenye mtima wako!
 
Last edited by a moderator:
hapa akigoma hata mi ntalia hahaha watu mnasound balaaah

Ukisikia mtu anaendewa kwa mganga ndo itakuwa hapo! Safari hii ntakujua hadi tanga lakini natamani niwe mimi kama mimi!
 
Ukisikia mtu anaendewa kwa mganga ndo itakuwa hapo! Safari hii ntakujua hadi tanga lakini natamani niwe mimi kama mimi!
amu mydear..i can see u blushing heheeh...kieleweke mapemaa tujecheza kwaito mama
 
Last edited by a moderator:
Mkuu bahati mbaya natumia kamchina, nimeshindwa kuburudika. amu njoo uburudike uniletee na mie utamu kwa njia ya mnururisho! Teh!

Yaani hapo andika -200 points. Mikononi mwa amu inatakiwa ueleze umejipanga vipi. Sema kijana una maghorofa mangapi Kariakoo. Mtoto ataka matuzo huyo ohhh. Angalie usije ukabwaga moyo wako alafu wakakutunzia wenzio.

Amu chukua moyo wa huyu kijana hata kama huna sehemu ya kuuweka basi uhifadhi hata kwenye unyayo wako tu.
 
Yaani hapo andika -200 points. Mikononi mwa amu inatakiwa ueleze umejipanga vipi. Sema kijana una maghorofa mangapi Kariakoo. Mtoto ataka matuzo huyo ohhh. Angalie usije ukabwaga moyo wako alafu wakakutunzia wenzio.

Amu chukua moyo wa huyu kijana hata kama huna sehemu ya kuuweka basi uhifadhi hata kwenye unyayo wako tu.

Pia aelezee nchi za watu ametembelea ngapi pia mitaa ya huko ina maana hajamuona stunna alivyokua anajielezeaa basi ukishindwa elezeaa hata mikoa ya Tanzaniaa
 
Okay...nadhani basi wanaume tupo tofauti

Kila la kheri!!!

Mkuu mimi sipo ki cc, huyu dada bhana moyo wangu umemdondokea. Ni kutokana na yale anayoyaandika humu ndio yameifanya brain yangu kumjengea picha ya mtu wa ina fulani na kuvutiwa naye pia. amu nifikirie tu mimi kwenye mtima wako!
 
Last edited by a moderator:
Pia aelezee nchi za watu ametembelea ngapi pia mitaa ya huko ina maana hajamuona stunna alivyokua anajielezeaa basi ukishindwa elezeaa hata mikoa ya Tanzaniaa

Mkuu acha kupampu basi, amu hayupo kihivyo. Ni mtu anayeelewa kupata na kukosa! Au sio amu ?
 
Last edited by a moderator:
Yaani hapo andika -200 points. Mikononi mwa amu inatakiwa ueleze umejipanga vipi. Sema kijana una maghorofa mangapi Kariakoo. Mtoto ataka matuzo huyo ohhh. Angalie usije ukabwaga moyo wako alafu wakakutunzia wenzio.

Amu chukua moyo wa huyu kijana hata kama huna sehemu ya kuuweka basi uhifadhi hata kwenye unyayo wako tu.

Aisee, wale wakinga wa kariakoo umewahi waona wanatumia simu za kupangusa? Kitu chenye tochi na ghorofa linapanda. Mi najua nilivyojipanga kwa wakati huu inatosha kutupeleka mbele
 
TE=Nyalotsi;8362703]Waoooh! Samahani nimechelewa kuja! Hapa nilipo nimezimia kama mara mbili baada ya kukuona. Kuna jamaa hapo njiani wamenitishia kunimushi eti we ni mali yao, kweli?[/QUOTE]
Haya ndo matatizo ya vijana wa Siku hizi. Umeshaanza kulalamika kabla hata hujasema haja zako.Unatakiwa umwage Sera zako/shuka mistari kijana wa kiume. Unafikiri uko mwenyewe kwa amu? Unaomba penalty kabla hujafanyiwa vurugu?
 
Last edited by a moderator:
kwanin tena jaman au hamtak kijana aseme yake ya moyon

Walikuwa wanataka kunikatisha njiani lakini sikati tamaa! amu, nimekufia fia, nimekuzimikia kia, mtoto wa geti kalii! Kama unaweza basi njoo tujivinjariii!(gangwe mob enzi hizo!)
 
Last edited by a moderator:
Walikuwa wanataka kunikatisha njiani lakini sikati tamaa! amu, nimekufia fia, nimekuzimikia kia, mtoto wa geti kalii! Kama unaweza basi njoo tujivinjariii!(gangwe mob enzi hizo!)

hayo maverse sasa.
 
Last edited by a moderator:
hayo maverse sasa.

Unajua nimekumbuka enzi zile wazee wanasema bongo fleva ni uhuni na nyimbo zilikuwa na ujumbe kidogo! BTW habari ya kanisani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom