Huyu dada kanipenda au ndo maigizo?

Huyu dada kanipenda au ndo maigizo?

Mahusiano miezi mitatu hadi brother anajua! Na namba yako a nayo.hizi bahati mbona kina d hatuzipati?
Back to the topic,kama hujampigia cm siku mbili anapasua sim, siku akikuta na msichana mwingne si anaweza kukupasua we mwenyewe?
 
ndugu yangu bana DEO yani nna kazi sana apa sio ilo tu kuna mambo anafanya minahis kama anamapepo mfano nikienda kumsalimia kwao wakat wakuondoka mtoto nikulia tu yani mpaka inanikera jamani pia nlmtisha kwamba ntamuacha akiendelea na mauzauza yake akatafta madawa mengi na soda ya koka kola anywe ili ajiue sasa jamani aya ni mapenz,ukuda,au ni umbea umemjaa au nimuache alaf nione matisho yake yanaishia wapi!
 
Kumbe mwanafunzi halafu kaka mtu anakusapoti?
Hapa nikishauri si itaonekana nasuport ubakaji?
 
marahaba! utoto tu huo..kaa neye mbali hangaikia maisha yako kwani hayo ya mapenzi at ur age ni kujipotezea muelekeo wa maisha yako...concentrate na kuhangaikia maisha yako wewe bd mdogo sana mwenzako naye ndio kwanza anaigiza mambo ya kwenye tv...
 
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu maraaba,mimi nikijana nna miaka23 nna mpenz wangu mpaka sasa ni miez mi3 niko nae tatizo lake nisipompigia cm au sms walau sku mbili basi ujue ni shida kama leo kakaake kanipigia cm ananambia mbona.......anapasua cm uku hom nkamwambia misjui chochote baadae nkapga cm iliita kama mara5 akupokea badae nkagundua kumbe alivunja cm na line sjui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenz ananipenda au magumashi tafazali ushauri jamani.
hao ni wale wa kujiua...tafakari chukua hatua!
siku ingine atachoma nyumba kwa kisingizio cha wewe kutopokea cm!!!mbaya zaidi nyumba iwwe si yako umepanga....
 
hahahahaha, kuvunja simu ni utoto ila siku mbili hujawasiliana na mpenzi wako!!! mmmh!
 
miaka 23 bingwa wa uzinzi....wenzako wako tuition
 
alaf dada huyu ndo anajiandaa na mtian wa form4 mwez wa11sasa mda kama u ndo anatakiwa kuchachamaa na maxomo badala yake anajchanganya na mapenz saiz nanmemwambia kabisa akifeli simtaki kabisa we ngoja

Wewe mwache mtoto huyo kwanza ww mwenyewe ndo unamponza afu unamtisha utamwacha
 
nashkuru JAMIIF kwa ushauri wako ila ujanambia suluhu mimi naweza kutemana nae lakini ujajua kwake akigundua itakuaje minahis atafanya mautumbo zaidi kana kwamba wanaume wameisha
 
ndo watoto wa kijiditali hao...

kaka kafurahia shemeji


Afu anashirikiana na kaka'ke?
Dotcom raha sana, mie enzi zangu kaka akihisi hata umesalimiwa na kivulana ana uwezo wa kukukata mmiguu. Leo hii kaka anarekebisha tu?
 
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu maraaba,mimi nikijana nna miaka23 nna mpenz wangu mpaka sasa ni miez mi3 niko nae tatizo lake nisipompigia cm au sms walau sku mbili basi ujue ni shida kama leo kakaake kanipigia cm ananambia mbona.......anapasua cm uku hom nkamwambia misjui chochote baadae nkapga cm iliita kama mara5 akupokea badae nkagundua kumbe alivunja cm na line sjui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenz ananipenda au magumashi tafazali ushauri jamani.

Dilema line na simu vimevunjwa lakini inaita!!!!!!!!!!!!!
 
Huo utoto tu kwani imeandikwa wapi kuwa anaetakiwa kupiga simu ni mwanaume tu. Ndo maana huwa wanaachwa bila kujijua.
 
Utoto kazi kweli kweli nyie someni kwanza hayo mambo yaacheni. SAWA WADOGO ZANGU!
 
Mwezi mchanga huo, chunguza viizuri huyo nyap ni dizaini gani
 
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu maraaba,mimi nikijana nna miaka23 nna mpenz wangu mpaka sasa ni miez mi3 niko nae tatizo lake nisipompigia cm au sms walau sku mbili basi ujue ni shida kama leo kakaake kanipigia cm ananambia mbona.......anapasua cm uku hom nkamwambia misjui chochote baadae nkapga cm iliita kama mara5 akupokea badae nkagundua kumbe alivunja cm na line sjui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenz ananipenda au magumashi tafazali ushauri jamani.
Ufilipino
 
Back
Top Bottom