marhaba.......huo sio upendo ni ukichaa......
jaribu kumchunguza....je kipindi cha mawingu huwa yupo sawa........?....na usipoangalia vizuri anaweza kukung'ata.........
Siku hizi mambo yanashangaza sana
Kumbe aliyeniambia umekufa ni mzandiki na mshakunaku. Na akufe yeye mara tatu. Shenzy
usikute kasimu ka promotion. hivi simu kama GALAX IPHONE NA LUMIA anaweza pasua kweli?
shkamooni wakubwa zangu wadogo zangu maraaba,mimi nikijana nna miaka23 nna mpenz wangu mpaka sasa ni miez mi3 niko nae tatizo lake nisipompigia cm au sms walau sku mbili basi ujue ni shida kama leo kakaake kanipigia cm ananambia mbona.......anapasua cm uku hom nkamwambia misjui chochote baadae nkapga cm iliita kama mara5 akupokea badae nkagundua kumbe alivunja cm na line sjui kanikomoa au kajikomoa yeye au ndo utoto au ndo udogo ktk mapenz ananipenda au magumashi tafazali ushauri jamani.
lol!!!!! nimecheka mpaka nimepaliwa......
Mahusiano miezi mitatu hadi brother anajua! Na namba yako a nayo.hizi bahati mbona kina d hatuzipati?
Back to the topic,kama hujampigia cm siku mbili anapasua sim, siku akikuta na msichana mwingne si anaweza kukupasua we mwenyewe?
usikute kasimu ka promotion. hivi simu kama GALAX IPHONE NA LUMIA anaweza pasua kweli?
MDESI Kakaake alinpigia akasema she wako mbona anaharibu cm sasa kaka akakata nkapiga mimi kwa kaka akasema she wako analalamika eti umpigiagi baada ya apo wakaikusanya ile cm betri na line ndo akarudishiwa cm yake sasa nkampigia she wangu mara5 hakupokea badae kakake akapga akasema tmeirudishia ile cm kumbe ndo kaipasua kabisa mdesi umeona?
acha izo ngoshas