LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,170
- 11,239
Huyu dada nilishawahi kuachana nae kama miezi sita hivi iliyopita kwa sababu ya ubabe wa kijinga jinga , kila siku mi nlikuwa mtu wa kula vipigo tu mwanamke alikuwa anapiga kama Rambo, asione mwanamke kanipigia sim ugomvi hapo hapo utaanza
Ikabidi niachane nae tu tena kwa kumkimbia nikahamia sehem nyingine kimya kimya sasa leo mida ya saa tano asubuhi nilisikia kuna mtu anagonga mlango wa chumba changu ikanibidi nifungue kujua ni nani, mara gafla nikamuona ni yeye
Kwa kweli nilishtuka kwani sikujua ni nani aliyemuelekeza ile sehem nnayoishi kwani nilifanya iwe siri kubwa ili tusije sumbuana badae. Kabla sijamruhusu aingie ndani akausukuma mlango kwa nguvu kisha akanisukumiza hadi kitandani kisha akaufunga ule mlango kwa ufunguo
Baada ya kuufunga mlango akatoa kwenye pochi kisu kisha akanitishia kuwa nikipiga kelele tu nijiandae kufa, akaniambia kuwa lazima nimle mzigo kwa lazima ili kuokoa uhai wangu
Kiukweli wakuu nilimla mzigo kwa mbinde mbinde lakini mi nahisi kanibaka huyu kurumbembe hivyo nahitaji msaada wa kisheria nimfungulie mashtaka ya ubakaji
Nawasilisha kwa huzuni
Ikabidi niachane nae tu tena kwa kumkimbia nikahamia sehem nyingine kimya kimya sasa leo mida ya saa tano asubuhi nilisikia kuna mtu anagonga mlango wa chumba changu ikanibidi nifungue kujua ni nani, mara gafla nikamuona ni yeye
Kwa kweli nilishtuka kwani sikujua ni nani aliyemuelekeza ile sehem nnayoishi kwani nilifanya iwe siri kubwa ili tusije sumbuana badae. Kabla sijamruhusu aingie ndani akausukuma mlango kwa nguvu kisha akanisukumiza hadi kitandani kisha akaufunga ule mlango kwa ufunguo
Baada ya kuufunga mlango akatoa kwenye pochi kisu kisha akanitishia kuwa nikipiga kelele tu nijiandae kufa, akaniambia kuwa lazima nimle mzigo kwa lazima ili kuokoa uhai wangu
Kiukweli wakuu nilimla mzigo kwa mbinde mbinde lakini mi nahisi kanibaka huyu kurumbembe hivyo nahitaji msaada wa kisheria nimfungulie mashtaka ya ubakaji
Nawasilisha kwa huzuni