Huyu dada bhana!

Huyu dada bhana!

No man in his right mind would want a shiftless woman for a wife.
 
Angalia sana hapa mjini na humu JF kuna watu kazi yao kusubiri watu wanaojitangaza wanazo pesa za kubadilisha magari wakupunguzie ulichonacho hivyo kuwa makini,yaliyotokea ni moja katika mambo ya kimaisha ambayo yanaweza kumtokea yeyote yule na si ajabu kuchwa au kukataliwa uwe mwanaume au mwanamke na hakuna ambaye hajawahi kuachwa ama kukataliwa katika maisha.
 
Wabongo tunapenda kujipaisha sana, kwa style hiyo lazima utakamata kichwa tuu humu shaka ondoa King of Kings( kwamtoro )

Vp ulijipaisha sana siku kadhaa kabla ya Jf party but hatukukuona, ilikuwaje mkuu au ulichelewa kutoka bandarini kuclear makontena yako?
 
Last edited by a moderator:
Mmmh! haya bhana lakini usisahau kusaidia wasio nauwezo, maana kwajinsi ulivyojielezea....
 
Wabongo tunapenda kujipaisha sana, kwa style hiyo lazima utakamata kichwa tuu humu shaka ondoa King of Kings( kwamtoro )

Vp ulijipaisha sana siku kadhaa kabla ya Jf party but hatukukuona, ilikuwaje mkuu au ulichelewa kutoka bandarini kuclear makontena yako?

Walijitokeza wadada wawili nikawawezesha, wananisumbua hawo. Kuna mzigo wa agent, turbo charges niliufuatilia Singapore. That why sikuweza kutokea. Nashukuru kusikia kwa wadau party ilikuwa Waaaooo!!!

 
Je ww bado wampenda. Ukinijibu ntakwambia ufanye nn?

Hapana aisee, nilimpenda sana wakati ule. Ila maneno yake yaliniumiza moyo sana na toka that day nilimchukia ila nilimsamehe na kumfanya rafiki yangu tu.
 
Huuzi sembe kweli wewe? maana kama kweli una mafanikio hayo unayosema sizani kama ungepata muda hata wa kuingia humu kuandika hayo uliyoandika, wa hivyo hawanaga muda
 
Kings of the kings una mbwembwe....

Na kwambia huyu jamaa ni soo anamisuzo ya hatari yani watu wanajua kuact maisha wakiwa na keybord zao ana uwezo wa kusema ana nyumba u.s.a hajui watu tunaenda na record ya uzi zake ila hii ya leo ni kali...

Ndo huyu king of the kings aliyeshwa hata kulipia jf part leo anakumbia ana miliki kampuni na vigari vidogo vidogo kadhaa...

Hivi huu ushamba bado upo????? hahahahahag na kumbuka ilikuwa zamani sana mambo haya.

Jf ni vazi la kuficha shida zetu hapa ukitaka hata miliki wa zile choppa za chadema utampa yuko humu humu....
 
Walijitokeza wadada wawili nikawawezesha, wananisumbua hawo. Kuna mzigo wa agent, turbo charges niliufuatilia Singapore. That why sikuweza kutokea. Nashukuru kusikia kwa wadau party ilikuwa Waaaooo!!!


Toa ushamba wako hapa na utoto wako wewe
 
===>>> weeee tuliaaaa....maskini weee....

===>>> Story za shigongo hizi au movie usilete hapa.......

===>>> Kafieee mbeleeee.....wenye pesa tumenyamaza.... keep shut...unajua Mungu kampangia nn dada wa watu...ww kakupiga kibuti nyamazaaa....huna lolote....kaa kimyaa...


Huyu Dada alinitosa kwa kuniambia mimi masikini sana sitoweza kumsupport.

Miaka saba ikaisha faster, nimefungua kampuni yangu, nimemaliza kujenga nyumba yangu goba, nina mchumba mzuri ambaye soon tutafunga ndoa, namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.

Yule mdada ambaye aliniona masikini, she still single, anamsubiri tajiri aje amuoe.

Majuzi nimempa lift, nikamuonea huruma sana kwa jinsi alivyokuwa. She was ashemed of her self
 
Huyu Dada alinitosa kwa kuniambia mimi masikini sana sitoweza kumsupport.

Miaka saba ikaisha faster, nimefungua kampuni yangu, nimemaliza kujenga nyumba yangu goba, nina mchumba mzuri ambaye soon tutafunga ndoa, namiliki range rover na vigari vingine kadhaa.

Yule mdada ambaye aliniona masikini, she still single, anamsubiri tajiri aje amuoe.

Majuzi nimempa lift, nikamuonea huruma sana kwa jinsi alivyokuwa. She was ashemed of her self
CC: Kwa wadada/wamama/wanawake wote wenye kudharau watu wasiowajua malengo yao ya kesho. Wakijilengesha na kujipeleka kwa wale ambao tayari wanavyo vya kuonekana. Wataendelea kutafunwa na kutupwa kando ya barabara kama Bazoka. Hatimaye kila siku watarudi humu na kuandika "Mara wanaume hawatulii, mara wanaume hata uwape nini hawatulii"

Mbona nyinyi hamtulii kwa maskini wenzenu Mungu aliowapa mnataka mtulie kwa matajiri tuuu.. hamjui kwa matajiri mpo wengi na lazima huduma itolewe kwa zamu. Sasa wivu wa nini tena wenzetu wasaka mali??????
 
sasa hapa kuna cha kukusaidia au ndo unatuonesha ufahari wako
au tujue kuwa mmilikishaji?
 
umeamua kufunguka zaidi hapa
CC: Kwa wadada/wamama/wanawake wote wenye kudharau watu wasiowajua malengo yao ya kesho. Wakijilengesha na kujipeleka kwa wale ambao tayari wanavyo vya kuonekana. Wataendelea kutafunwa na kutupwa kando ya barabara kama Bazoka. Hatimaye kila siku watarudi humu na kuandika "Mara wanaume hawatulii, mara wanaume hata uwape nini hawatulii"

Mbona nyinyi hamtulii kwa maskini wenzenu Mungu aliowapa mnataka mtulie kwa matajiri tuuu.. hamjui kwa matajiri mpo wengi na lazima huduma itolewe kwa zamu. Sasa wivu wa nini tena wenzetu wasaka mali??????
 
===>>> weeee tuliaaaa....maskini weee....

===>>> Story za shigongo hizi au movie usilete hapa.......

===>>> Kafieee mbeleeee.....wenye pesa tumenyamaza.... keep shut...unajua Mungu kampangia nn dada wa watu...ww kakupiga kibuti nyamazaaa....huna lolote....kaa kimyaa...
Taratibu mkuu, haya mambo yapo na yanaendelea kutokea.

Ukiwa na hela utawapanga mpaka mwenyewe utawachoka, tena hata kama wenyewe wanajijua wanachangia mshedede...
 
Na kwambia huyu jamaa ni soo anamisuzo ya hatari yani watu wanajua kuact maisha wakiwa na keybord zao ana uwezo wa kusema ana nyumba u.s.a hajui watu tunaenda na record ya uzi zake ila hii ya leo ni kali...

Ndo huyu king of the kings aliyeshwa hata kulipia jf part leo anakumbia ana miliki kampuni na vigari vidogo vidogo kadhaa...

Hivi huu ushamba bado upo????? hahahahahag na kumbuka ilikuwa zamani sana mambo haya.

Jf ni vazi la kuficha shida zetu hapa ukitaka hata miliki wa zile choppa za chadema utampa yuko humu humu....

Andika vizuri ueleweki, njaa hizi bhana zinanikumbusha mbali sana. Umekula mchana wa leo?

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom