xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,290
Mhuuu..hapa ni kwa watu wanao ota ndoto za utajiri.
Ni shidaa aisee,acha tu.
yani mtu ndani ya miaka 7 ametoka from nothing mpaka kumiliki kampuni,nyumba boko na vogue.Inawezekana lakini sio kwa njia halali,somewhere somehow something illegal was done kama si hvyo basi mdau anatupiga kamba kitu ambacho hapa jf si mahali pake
All in all hongera japo hukuwa na sababu ya kutangaza utajiri wako ili kuufikisha ujumbe wako tena ujumbe ungekuwa mzuri zaidi kama usingetaja mali zako.