kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
- Thread starter
- #41
CC: Kwa wadada/wamama/wanawake wote wenye kudharau watu wasiowajua malengo yao ya kesho. Wakijilengesha na kujipeleka kwa wale ambao tayari wanavyo vya kuonekana. Wataendelea kutafunwa na kutupwa kando ya barabara kama Bazoka. Hatimaye kila siku watarudi humu na kuandika "Mara wanaume hawatulii, mara wanaume hata uwape nini hawatulii"
Mbona nyinyi hamtulii kwa maskini wenzenu Mungu aliowapa mnataka mtulie kwa matajiri tuuu.. hamjui kwa matajiri mpo wengi na lazima huduma itolewe kwa zamu. Sasa wivu wa nini tena wenzetu wasaka mali??????
Nimekupa Like kwa sababu wewe una akili sana zaidi ya wengi humu MMU.