hapo ni Morogoro wenye ile Petrol Station ya TIOT huyu dada anatakiwa kweli aendelezwe kani ana kipaji akiwezeshwa atafika mbali sana, Sijui Mama Rahma huwa anatembelea jamvi letu amwone atume vijana wemweke Twiga Stars
kiukweli Dada ni noumer,..... lakini kitaa wapo wengi tu wenye vipaji vya hivyo shida serikari haijatengeneza mazingira ya kuvifanya vipaji vyao kua ajira na hata mwisho wasiku kuongeza pato kwa taifa.
Huyu ndo anayefaa KUWEZESHWA na ataweza, siyo wanao kaa saloni na bar wanasubiri wawezeshwe! Sana sana wata ambulia ofa ya ulabu na kubebwa kwenda kulitumikia taifa mpaka majogoo!
Ni kweli kabisa, huyu binti mi binafsi nimewahi kumuona live pale Magomeni Usalama akionyesha show hizo. Tatizo ni kwamba anaelekea hana mtu wa kum-guide na mwenyewe pia hajui potential yake. Yaani inasikisitisha, anafanya hayo maonyesho ili apate hela ya kula tu siku hiyo. Ninavyoona hiyo picha hata hapa Dar pia kaondoka, kwani nahisi hapo ni Morogoro. TFF mpo?
Talented she is but playing soccer goes beyond juggling the ball. Tactical awareness, positioning, fitness, football IQ and many other things. What I think most people on here have overlooked is the fact that natural talent is not all that is needed to become a top player. Good thing for her is that most of those things can be learned and with the right guidance and tutelage she can get there, but above all she has to be motivated herself to begin with. How many times have we seen uber-talented footballers not reach their full potential because they failed to mold their natural talent into something useful on the pitch. A good example is Adriano (former Inter Milan player) who did reach very high levels, but he potentially could have achieved much more. Huko kote mbali sisi wenyewe tuna jamaa yetu anacheza ule mpira wa kikapu ila look what happened. He obviously was drafted so high (2nd overall) because of the enormous potential he had but we all know what has befallen him since. All that aside I do agree though that she should at least be given the chance to exploit her potential at least that way we know that if she did not make its due to other reasons besides not being given a chance. I do realize my posting is heavily ladden with skepticism but trust me I wish her very well like everyone else here does.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.