social_science
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,105
- 1,262
Habari wakuu,
Kuna binti mtaani jirani nilitokea kumpenda baada ya kumweleza nia yangu akadai ana mpenzi, niliendelea kumfatilia nikijua huwa sio watu wa kukubali kirahisi baada ya kuwasiliana kwa muda akaanza pozi kibao nikamshiti zimepita week mbili kaanza kunitafuta tena, hii imekaaje.
Wakuu nia yangu nikuoa sitaki ujanja ujanja
Kuna binti mtaani jirani nilitokea kumpenda baada ya kumweleza nia yangu akadai ana mpenzi, niliendelea kumfatilia nikijua huwa sio watu wa kukubali kirahisi baada ya kuwasiliana kwa muda akaanza pozi kibao nikamshiti zimepita week mbili kaanza kunitafuta tena, hii imekaaje.
Wakuu nia yangu nikuoa sitaki ujanja ujanja