Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,345
CCM siku zote huongozwa na fikra sahihi ingawa dhaifu za Mwenyekiti wao...
Siku zote, lakini vyama vingi huongozwa na fikra za viongozi wao wa juu mkuu.
CCM siku zote huongozwa na fikra sahihi ingawa dhaifu za Mwenyekiti wao...
Siku zote, lakini vyama vingi huongozwa na fikra za viongozi wao wa juu mkuu.
...ungeongezea pia a moment Kikwete allowed the US military to have a base in Kigamboni.
Unaogopa nini kumtaja?
Kinachotakiwa hapa ni ccm kuondolewa tu hakuna njia tena ya kuwa acha wameshindwa kulinda rasilimali za nchi adi hatujuwi wala hatuna ndoto nilini tutaondokana na utumwa huu wa kuomba kila siku
Kwa kuwa Invisible kaja na thread yake ya mafumbo na vishindo na sisi wengine tunajibu kwa mafumbo
Kwa mtu yoyote aliyesoma huki kitabu atajua ninachoongea hapa ni nini...
![]()
Kuna CIA tena raia wa USA kaikamata kisawa sawa serikali ya Tanzania na amekuwa bize kuongea na akina Paul Hicks ili waongee na serikali ya Obama kuhusu MCC
Clue: Ni mwanamke, anaingia ikulu kama chooni na yuko very much linked na hizi pesa za MCC na akina SYMBION ambao washapewa dili la kuinunua TANESCO, watapewa projects zote za power generation, na kwa kuonyesha jinsi gani akina Paul Hicks walivyoweza kuwapiku akina GE. Basically washa sema wazi kuwa mpaka sub contracts zote zitarudi kwa kampuni ambazo ziko affiliated na wao. Tazama hili jedwali hapo chini utaelewa:
![]()
kwa mnaocheza monopoly na yule jamaa yetu aliye graduate chuo ya national security naamini akiamka anaweza kuja kum out kwa jina na miradi feki ambayo huyu mama amekuwa aki front na list ya maofisa wa ngazi ya juu pamoja na mawaziri ambao wako kwenye payroll yake
![]()
Makao makuu ya CIA, Langley Virginia
clue number 2. Huyu si kati ya wale CIA ambao serikali kisheria lazima iwafahamu ambao wako ubalozini na balozi zote dunianiamekuwa kama vile semi independent contractor japo waajiri wake wako hapo juu ambao in essence ni serikali ya USA.
connection ya Paul Hicks mtaipata humu na hizo pesa za MCC ambazo inabidi zirudi USA zaiidi bonyeza hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/152989-symbion-power-intelligence-watupu.html
Hivyo mnaposoma kuwa USA wamekata misaada na blah blah zingine jueni kuwa hawa hawa USA walishawahi kumfukuza mwakilishi wa WORLD BANK Tanzania lakini hii itabidi niifungulie thread nyingine kwani inahusika directly na ESCROW
seriously?! is ther a US base in kigamboni??!
Mbona anajulikana sana na kwa taarifa yako anaongea kiswahili vizuri kuliko waswahili wenyewe!!
Ulikuwa hujui? Ongea na wanajeshi wazalendo watakupa taarifa.seriously?! is ther a US base in kigamboni??!
Ulikuwa hujui? Ongea na wanajeshi wazalendo watakupa taarifa.
Mbona jambo hili linajulikana kitambo?!
kama sio Nyalandu basi ni Membenapita tuu. Hivi inawezekana vipi cabinet minister apewe sophisticated equipments na jamaaa wa Langley ? Ili iweje ? Afterall amekuwa akipeleka habari zoote kwa handler wake on weekly basis au ndio mambo ya kutishana?