Ukisema 'unapita tu' kwenye uzi wako mwenyewe unakosea. Unajipitisha...naendelea kupita tuu
kama sio Nyalandu basi ni Membe
Hivi nyie Lumbumba buku 7 akili zenu mmekubali kabisa zifungiwe kabatini hata kujifunza vitu vidogo vidogo hamuwezi.Hivi Nyalandu si walisema ana Green Card ya marekani??
Mwenye Green card hawezi gombea nafasi za uongozi tu Ila ana haki Kama Raia wengine,Hivi nyie Lumbumba buku 7 akili zenu mmekubali kabisa zifungiwe kabatini hata kujifunza vitu vidogo vidogo hamuwezi.
Hivi Kuwa na green card ndo kuwa raia?
Kwahyo mwenye green card ni raia?Mwenye Green card hawezi gombea nafasi za uongozi tu Ila ana haki Kama Raia wengine,
Jiongeze kijana. Huyo ni mamluki.
Hii kadi alikuwa nayo toka akiwa waziri wa wizara nyeti kwenye serikali ya Ccm ya awamu ya 4?Hivi Nyalandu si walisema ana Green Card ya marekani??
ndio anayo na wengine wengi kwenye serikali yetu ya awamu ya5 wanazoHivi Nyalandu si walisema ana Green Card ya marekani??
Watajendio anayo na wengine wengi kwenye serikali yetu ya awamu ya5 wanazo
hamjui.vizuri atamtajaje??Unaogopa nini kumtaja?