iron fryier
Member
- May 2, 2017
- 11
- 20
Jaribu kukaa kimya kwa muda,kama anakupenda kweli atakuanza 2,Kama atakuanza mwambie ukweli kwamba haupendezwi na tabia yake hiyo
Asipokuanza endelea na maisha..
Asipokuanza endelea na maisha..
Umeanza Lin?kabisa
hahahaaa... mali yake yaliwa... tena unakuta mgegedaji anatatua na marinda kabisa...
asee rafiki anamaneno makaliinimecheka sana mkuuI can feel you bro...ila kubwa jiandae kisaikolojia kuachana nae tena ikiwezekana wewe ndo umwache la sivyo kilio utakacholia humu jukwaani kuleta mrejesho hadi server za JF zitazima


Ah...pesa ktu gani mm pia ilikuwa hvyohvyo nimehudumia saaaaaaana havinaga shukran hv vitoto vikifika 27 28 29 ndio vnakumbuka nafasi walizochezea pga chini najua ngumu ila we jitahidi kukausha jpo miezi 3 tu utaona reaction yke katanyooka hko kata huduna zote tuone wangese wenzie wanaomtia kibri wanaweza kumhudumia km unavyofanya ww? hyo miezi 3 ni km probation ikiisha sio urudiane nae ss utanivunja moyo mshauri nasaha usiwe mngese ikiisha hyo probation ya miezi 3 ndio unampa ss mkataba wa kudumu kustafu hadi miaka 60 lazma anyooke!Pesa nampa, kila akiomba namtoa bila kinyongo yoyote.
Nakuelewa sana mshauriAh...pesa ktu gani mm pia ilikuwa hvyohvyo nimehudumia saaaaaaana havinaga shukran hv vitoto vikifika 27 28 29 ndio vnakumbuka nafasi walizochezea pga chini najua ngumu ila we jitahidi kukausha jpo miezi 3 tu utaona reaction yke katanyooka hko kata huduna zote tuone wangese wenzie wanaomtia kibri wanaweza kumhudumia km unavyofanya ww? hyo miezi 3 ni km probation ikiisha sio urudiane nae ss utanivunja moyo mshauri nasaha usiwe mngese ikiisha hyo probation ya miezi 3 ndio unampa ss mkataba wa kudumu kustafu hadi miaka 60 lazma anyooke!
Hivi dawa ya huu ugonjwa ni ipi mkuu ??Hivi mpaka leo kuna watu wanaugua mapenzi??