Huyu binti ananifanya nikonde

Huyu binti ananifanya nikonde

Achana naye tu hakuna namna hivyo visister duuuuh vinazingua sana
 
Naomba niwashukuru kwa michango yenu nime chambua moja baada ya nyingine na naomba niwaahidi kwamba kilicho salia kwangu ni kumpa muda bila taarifa ili aombe msamaha kama alikuwa anatania au la na mimi kwa upande wangu sitakuwa na muda wa kubembeleza.

Nitampa siku moja na nusu kuanzia asubuhi ya leo mpaka kesho saa nane mchana asipoomba msamaha nitasonga mbele maana maisha lazima yaendelee.

Niwaahidi kesho mtapata mrejesho na sitakuwa na utani tena na hawa raia nitazingatia pia ushauri wenu.

Asanteni sana.
 
I can feel you bro...ila kubwa jiandae kisaikolojia kuachana nae tena ikiwezekana wewe ndo umwache la sivyo kilio utakacholia humu jukwaani kuleta mrejesho hadi server za JF zitazima
nimecheka sana mkuu
hapa hata tumwambiaje hawezi kutuelewa asubirie tu kibuti
 
Umenikera sana ila najikaza sitatoa tusi maana haisaidii skia bro mm pia nlikuwa na kapumbavu kamoja tabia hzohzo za kudenguadengua ila we umezidi kupenda gani hko mtu akutamkia bdo upo tu? hv vitoto vya under 21 vna tabu atakusumbua sana hyo mtt keshajua unampenda mm pia nlipenda haswaaaa ilikuwa nioe October mwaka huu nimesitisha kila ktu co kwamba simpendi hapana nampenda sana tu roho inaniuma nkiangalia picha zke kwa cm nakumbuka those dayz ila lazma ifike point tujue mume nani mke nani kukaza kwangu nafsi naona mabadiliko kajirudi kabsaaaaa kawa mpole ila ndio hvyo tena nshaghairi am sure ningeamua kumsamehe nkamuoa tungeishi vzr keshanyooka!
 
Pesa nampa, kila akiomba namtoa bila kinyongo yoyote.
Ah...pesa ktu gani mm pia ilikuwa hvyohvyo nimehudumia saaaaaaana havinaga shukran hv vitoto vikifika 27 28 29 ndio vnakumbuka nafasi walizochezea pga chini najua ngumu ila we jitahidi kukausha jpo miezi 3 tu utaona reaction yke katanyooka hko kata huduna zote tuone wangese wenzie wanaomtia kibri wanaweza kumhudumia km unavyofanya ww? hyo miezi 3 ni km probation ikiisha sio urudiane nae ss utanivunja moyo mshauri nasaha usiwe mngese ikiisha hyo probation ya miezi 3 ndio unampa ss mkataba wa kudumu kustafu hadi miaka 60 lazma anyooke!
 
Ah...pesa ktu gani mm pia ilikuwa hvyohvyo nimehudumia saaaaaaana havinaga shukran hv vitoto vikifika 27 28 29 ndio vnakumbuka nafasi walizochezea pga chini najua ngumu ila we jitahidi kukausha jpo miezi 3 tu utaona reaction yke katanyooka hko kata huduna zote tuone wangese wenzie wanaomtia kibri wanaweza kumhudumia km unavyofanya ww? hyo miezi 3 ni km probation ikiisha sio urudiane nae ss utanivunja moyo mshauri nasaha usiwe mngese ikiisha hyo probation ya miezi 3 ndio unampa ss mkataba wa kudumu kustafu hadi miaka 60 lazma anyooke!
Nakuelewa sana mshauri
 
Ana umri gani
Kama yuko chini ya miaka 23 ujue huo utoto unamsumbua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom