Huyu Beki 3 nimfanyeje?

Mkuu unaonekana siku si mingi utafanya yako,hauko stable kwenye maamuzi yako.Kama ni kweli anafanya yote ayo,mfukuze mtafute msaidizi mwingine.Usifanye mzaha na mchezo kwenye ndoa.Jiangalie wewe kama Mume wa mtu unayeaminiwa na siyo muhuni wa kupitiwa mbele na khanga moja.Ndoa haijaribiwi kama yule Dikteta uchwara.
 
yani hamna hata mtoto mmeshaleta beki tatu hiyo ndoa ukifanya mchezo hata miaka miwili haishi mnakuwa mmeachana.. fukuza huyo mtu na msikae na hg mpaka mtakapo kuwa na mtoto
 
Kwani ww ni rijali kweli? Sasa hapa unataka ushauri gani? Au ni mwanaume wa dar mla chips mayai? Acha kutuaibisha wanaume banaaaa, tafuna huyooo.
 
1. Kila weekend pocket money mwambie akatembee mjini. Aondoke SAA 4 na ikiwezekana kama ana rafiki mruhusu alale huko. Ila j2 awahi kurudi. Ana hamu Hugo ni binadamu.
2. Kaa naye mwambie kuwa anakukosea adabu
 
Ndiyo kipimo cha uwaminifu hicho kazi kwako si unajuwa mlamba asali ahachi ila tu huchonga buyu kuwa mzinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjina Mrefu ukisikia majaribio ndio hayo sasa. Inakubid uyashinde. Bwana Yesu hakuwa amekula ana njaa alajaribiwa na njaa kwa kuambiwa ageuzi mawe kuwa mkate. Wewe pia itakuwa unapenda sifa zote za huyo binti. Kimbia ushinde.
 
Mkuu wewe unataka ushauri au unataka tukuambie kama vile akili yako inavyowaza?

Even a black folk hate to see another nigga made it..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…