Huyu baba ni muhuni sana please help!

Huyu baba ni muhuni sana please help!

Jaribu kuongea nae umueleze unavojsikia moyoni!!!!!!!! Henda hajui kama it bothers you that much! Au mtafute mtu aongee nae!
 
Kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe. Jaribu kuwa serious na shughuli zako epuka na usiruhusu kusimuliwa habari za baba yako na watu mitaani achana na stori kama hizo ili aibu impatye yeye tu. ikiwa mnagongana kona ileile aibu inazidi kwako.
 
hahahah mbona nimeshamshauri amwitie wazee huyo dingi yake!!! ila yaonyesha mzee wake ni mtu wa dauni sana hivyo kuacha ni mpaka afie kwenye chest....
Ciello acha ubaguzi njoo uchangie mada huku!!!!!!! Yale mshitaka bado yanakuandama! kisoda Nafanya Nijisikiacho kama kumsalimu Ciello! Unalo hilo!
 
usilie na kuhuzunika sana,avoid kulet other people to distruct your happiness. Jitahidi kuacha aibu iwe yake, ili wewe usipate aibu zaidi.avoid kuishi maisha kama yake. zaidi sana muombee na kutubu kwa ajili yake, uzinzi ukiwa addictiction, ni sawa tu na wavuta sigara addicted!
 
nakushangaa sana kwa nn umejustfy kwamba huyu anayefanya haya ni mama yake?? je ina mana wababa ni watu decent sana kiasi kwamba hawawez kufanya haya?? acha sexual abuse. jibu kulingna na mada ilivyo.

Mkuu iko hivi sisi wanaume tunaumia kuona wamama wetu wakitoka nje ya ndoa kuliko wababa actually ndio mwanaume wa kwanza kuona analia eti kisa
Baba yake anayoka nje ya ndoa
Ila kwa wanawake kwa baba yao kutoka nje ya ndoa inawauma sana kuliko mama yao kutoka nje ya ndoa...
Nadhan kuna kesi kibao tunaziona mitaani za watoto wa kike kujua kidumu cha mama yao...
Ila msichana ni rahisi kulia kuona baba yake anamsaliti mama yake

Mkuu ndio maana nikatoa assumptions mbili hapo juu mkuu ili nijue nitamshauri vipi na ushauri wangu ulenge mada husika... maana anaweza kuomba msaada indirectly na hapo nikawa ninamsaidia bila kutatua tatizo bila kutatua tatizo lenyewe

Sija abuse sex yeyote.. maybe wewe umeelewa vibaya
 
C.T.U hivyo ina maana kwamba hukusadiki kauli ya mtoa mada ya kwanza??
 
Last edited by a moderator:
Nimeongea naye ndugu kaunga, lakini ananiambia nimeanza kuchanganyikiwa kwa kuwa sina ajira!

pole mkuu inapofikia swala la kuwarekebisha wazee wetu inakuwa ngumu wawezza jaribu kuongea na mzee wa karibu wa familia ambaye unajua ukimweleza haitaleta taabu kwa baba yako ili aweze zungumza naye
 
infantry soldier huwa hawalii kwa mambo madogo kama hayo. Kama vipi Mpotezee

unaezaona ni jambo dogo....
ingekuwa ndo wewe ungejua how big it is!!!!!!

Pole sana kijana hata mi huwa nakereka sana kuona mzazi anakuwa na uchafu huo, ukuzingatia anaishi na vijana wake wakubwa tu, ni aibu sana hawajui tu, pole!!!!
 
pole sana kwa hali unayopitia. najua inauma sana hasa kwa mtu ambaye wewe ulimwamini kwamba awe modo kwako anapokuwa na tabia za kishenzi. si bure baba yako kaathiriwa na ""u-late blooming"" na hivyo kijikuta yuko kwenye mid life crisis.hakukua kwa kufuata njia zote za makuzi ali delay somewhere akaruka stage sasa anajirudia tena nyuma.

jambo la msingi la kufanya kwanza kabisa usiweke chuki nae, wla jeuri ila tu kaa kimya huku ukimtia mama yako moyo na kuwa na nidham njema kwa mama yako. jihimizen katika kusali na kufanya ibada ili Mungu akutane nae kwa wakati wake na hili ndilo jambo la mwisho unaloweza kufanya.

otherwise haya ni maisha yake na huwez kuingilia uhuru wake and he is your father. kama una gf wako mweke mbali asije akamuharibia siku basi.

Asante sana ndugu gfsonwin, unanitia sana nguvu ya kuishi!
 
Mkuu iko hivi sisi wanaume tunaumia kuona wamama wetu wakitoka nje ya ndoa kuliko wababa actually ndio mwanaume wa kwanza kuona analia eti kisa
Baba yake anayoka nje ya ndoa
Ila kwa wanawake kwa baba yao kutoka nje ya ndoa inawauma sana kuliko mama yao kutoka nje ya ndoa...
Nadhan kuna kesi kibao tunaziona mitaani za watoto wa kike kujua kidumu cha mama yao...
Ila msichana ni rahisi kulia kuona baba yake anamsaliti mama yake

Mkuu ndio maana nikatoa assumptions mbili hapo juu mkuu ili nijue nitamshauri vipi na ushauri wangu ulenge mada husika... maana anaweza kuomba msaada indirectly na hapo nikawa ninamsaidia bila kutatua tatizo bila kutatua tatizo lenyewe

Sija abuse sex yeyote.. maybe wewe umeelewa vibaya

Anatembea na vitoto vidogo sana rika la watoto wake na hata wajukuu zake!
 
Niliwahi kumkuta anamchezea makalio mtoto wa kike aliyemaliza darasa la saba, mbele ya kibaraza chetu. Yani ni mtoto mdogo sana alikuwa. Niliumia sana moyo, ikabidi niende kanisani nikapate faraja ya moyoni!
 
unaezaona ni jambo dogo....
ingekuwa ndo wewe ungejua how big it is!!!!!!

Pole sana kijana hata mi huwa nakereka sana kuona mzazi anakuwa na uchafu huo, ukuzingatia anaishi na vijana wake wakubwa tu, ni aibu sana hawajui tu, pole!!!!

Mungu akubariki kwa ushauri wako ndugu Evlyn Salt. Naumia sana ndugu yangu ingawa watu wanafanya jokes!
 
Asante sana ndugu gfsonwin, unanitia sana nguvu ya kuishi!

nimefurah kuona unapata matumaini mapya. siku zote ishi ukijua kwamba sio mara zote maisha yanatuma vitu vizuri, muda mwingine aisha yanatupa vitu vibaya vyenye uchungu na majonzi makubwa sana kwetu. lakin tufanyeje?? yatupasa kuyapokea yote kwani maisha ndivyo yalivyo tuchagulia.

kumbuka kuna nguvu ambayo iko juu zaid ya uwezo wako ama uwezo wa mtu yyte yule kuzuia ili jambo lisitokee. nguvu hii laiti tungekuwa na uwezo tungeizima pale inapotuletea mabaya lkn hatuna uwezo huo. na wala hatuwez kupingana nayo. jambo la msingi ishi ukikumbuka kwamba

"""" tupokee mema tu toka kwa Mungu na wala si mabaya??""""

sasa ukilijua hilo ndipo utakagundua kwamba kuna wakati wa kuachwa na bwana na kuna wakati wa kurudiwa nae na atakapokurudia usishangae
 
Niliwahi kumkuta anamchezea makalio mtoto wa kike aliyemaliza darasa la saba, mbele ya kibaraza chetu. Yani ni mtoto mdogo sana alikuwa. Niliumia sana moyo, ikabidi niende kanisani nikapate faraja ya moyoni!

aisee unaonaje tukamfanyie mchezo ili aache hiyo tabia tumlie dili aliwe kiboga akome kabisa.
Pambaf anachezea makalio ya darasa la saba.
Huyu utakuwa hata vitoto vya kiume anavila.
Sasa vipi tutengeneze mchezo au????
 
Mungu akubariki kwa ushauri wako ndugu Evlyn Salt. Naumia sana ndugu yangu ingawa watu wanafanya jokes!

I know what you are passing though.....
mtu haezijua how it feels may be ingekuwa kwake!!!!
sijui ujana walikuwa wapi hadi uzeeni ndo wanakimbiza sketi!!!mteme tu endelea na mambo yako ila usimkaushie atabaki kuwa mdingi tu no matter what......
 
Inaonekana ujana wake hakuutumia ndo mana anahangaika ukubwani, wewe dili na mambo yako unapoteza mda tu huyo hawez kuacha mpaka hy nanihiiii yake itakapogoma kufanya kazi.
 
Mungu akubariki kwa ushauri wako ndugu Evlyn Salt. Naumia sana ndugu yangu ingawa watu wanafanya jokes!

ngoja nikupe mfano mmoja.
mm huwa nasemaga hivi, siku nazaliwa sikuwa najua kwamba natoka kwenye tumbo la mama wala la baba, na sikujua kama kuna baba ama mama, dada wala kaka. ila maisha yalinichagulia haya tena pasi kupenda manake ningekuwa na choice basi ningechagua wale ambao mm binafsi ningependezwa nao.

lakin sasa unazaliwa nature inakupa yote pasi na choice. sasa unafanyeje?? basi sina budi kuyapokea yote. nilipokaa na kugundua kwamba wale ndugu ambao niliwaona ni wazuri sana labda ningewachagua wao tu wengine ningeaacha nikajikuta kwamba nao pia sio malaika wana uzuri na ubaya wao na hata wale ambao niliwaoana wabaya nao pia wana uzuri wao na wao ndio waliokuwa na mchango mkubwa sana kwenye maisha yangu kuliko wale nilio wapenda.

hapo ndipo nilipo conclude kwamba no matter mtu ni mbaya kimatendo namna gani bado ana mchango mkubwa sana kwang. na makosa ya mtu huyo hayabadilish ukweli kwamba hajawah ama hatakaa aje kunisaidia. hivyo basi kosa la baba yako lisikufanye ukambadilisha kwa kitu ama mtu mwingine. alipoteza siku yake kukuzaa imetosha sana manake ndiye aliyekufanya ukaliona jua. asinge donate sperm yake usingalikuwepo hivyo makosa yake hayawez kubadilisha hili.

take your time fanya kazi zako mtie mama moyo kwa nidham njema na maombi.
 
Back
Top Bottom