Huyu baba ni muhuni sana please help!

Huyu baba ni muhuni sana please help!

infantry soldier huwa hawalii kwa mambo madogo kama hayo. Kama vipi Mpotezee
 
Pole sana; kwanini usiongee naye? Wewe ni mwanaume, mweleze kwa heshima ni mara mia awe anawapeleka mbali zaidi. Mzee wako anasumbuliwa na mid-life crisis huyo.

Kama ni muelewa ukimwambia jinsi gani unaathirika kwa matendo yako anaweza punguza.
 
Ana miaka 57 na wewe 20?
Matatizo ya kutojirusha in your 20s, mzee ameshapotea huyo sasa wewe break the cycle na uanze kudate.
Try to have your sexual fantasies in your 20s, la sivyo na wewe utakuwa kama wazee wetu hawa.
 
Pole sana; kwanini usiongee naye? Wewe ni mwanaume, mweleze kwa heshima ni mara mia awe anawapeleka mbali zaidi. Mzee wako anasumbuliwa na mid-life crisis huyo.

Kama ni muelewa ukimwambia jinsi gani unaathirika kwa matendo yako anaweza punguza.

Nimeongea naye ndugu kaunga, lakini ananiambia nimeanza kuchanganyikiwa kwa kuwa sina ajira!
 
Wewe ni he au she
Kama ni he jua hayo ni mambo ya kawaida
Au maybe unajaribunkuficha kitu
Maybe idn yako unaificha ila wewe ni mwanamke unaumia kuona baba yako anafanya huo uchafu
Au wewe mwanaume na huyo baba yako sio baba yako ila ni mama yako ndio anafanya huo uchafu
Kwani hapo ndipo naweza pata reason ya wewe mpaka kufikia kulia

Anyway shukuru mungu kwani kuna wengine mama zao wanapigwa mashine na watoto wadogo na 0712 kabisa wa rika la watoto zao
 
Ana miaka 57 na wewe 20?
Matatizo ya kutojirusha in your 20s, mzee ameshapotea huyo sasa wewe break the cycle na uanze kudate.
Try to have your sexual fantasies in your 20s, la sivyo na wewe utakuwa kama wazee wetu hawa.

Kobelo sipo 20 exactly, nipo kwenye late late 20's naenda 30, na nina demu wangu tayari na mungu akipenda anaweza kuwa mchumba na hatimaye ndoa!
 
Wewe ni he au she
Kama ni he jua hayo ni mambo ya kawaida
Au maybe unajaribunkuficha kitu
Maybe idn yako unaificha ila wewe ni mwanamke unaumia kuona baba yako anafanya huo uchafu
Au wewe mwanaume na huyo baba yako sio baba yako ila ni mama yako ndio anafanya huo uchafu
Kwani hapo ndipo naweza pata reason ya wewe mpaka kufikia kulia

Anyway shukuru mungu kwani kuna wengine mama zao wanapigwa mashine na watoto wadogo na 0712 kabisa wa rika la watoto zao

Mimi ni wanaume na sio mwanamke. Sina wivu nae, tatizo aibu tunayopata kutoka nyumba za jirani na marafiki hata ndugu saa zingine!
 
Kobelo sipo 20 exactly, nipo kwenye late late 20's naenda 30, na nina demu wangu tayari na mungu akipenda anaweza kuwa mchumba na hatimaye ndoa!
Poa!!
Usikonde sana, thats another person kwa hiyo atafanya anavyopenda.
NBdiyo matatizo ya kunanihii uzeeni.
 
Mimi ni wanaume na sio mwanamke. Sina wivu nae, tatizo aibu tunayopata kutoka nyumba za jirani na marafiki hata ndugu saa zingine!

Kwa hiyo yeye ni watoto wa rika lako wamama na wake za watu je?
Demu wako je?
 
Kwa hiyo yeye ni watoto wa rika lako wamama na wake za watu je?
Demu wako je?

Ndio maana nashindwa hata kumleta hapa nyumbani. Na sitafanya kosa la kumleta hata kidogo tutakapokuwa wachumba, labda awe kafa.
 
Wewe ni he au she
Kama ni he jua hayo ni mambo ya kawaida
Au maybe unajaribunkuficha kitu
Maybe idn yako unaificha ila wewe ni mwanamke unaumia kuona baba yako anafanya huo uchafu
Au wewe mwanaume na huyo baba yako sio baba yako ila ni mama yako ndio anafanya huo uchafu
Kwani hapo ndipo naweza pata reason ya wewe mpaka kufikia kulia

Anyway shukuru mungu kwani kuna wengine mama zao wanapigwa mashine na watoto wadogo na 0712 kabisa wa rika la watoto zao
nakushangaa sana kwa nn umejustfy kwamba huyu anayefanya haya ni mama yake?? je ina mana wababa ni watu decent sana kiasi kwamba hawawez kufanya haya?? acha sexual abuse. jibu kulingna na mada ilivyo.
 
dont be so mean, the man probably is having his last erection, so what? let him dick around a bit before he die, it is in men's genes,..we're hunters, lets spray our lollipop
 
huyo mzee yaeleke aliruka steji ila huenda pia hiyo ni hulka yake toka yuko kijana...kumchunia hakusaidii, waiteni wazee wenzie wamkalishe chini wamweleze athari zinazoletwa na tabia yake hiyo..huenda akawasikiliza na kubadilika!!!
 
nakushangaa sana kwa nn umejustfy kwamba huyu anayefanya haya ni mama yake?? je ina mana wababa ni watu decent sana kiasi kwamba hawawez kufanya haya?? acha sexual abuse. jibu kulingna na mada ilivyo.

Nashukuru kwa kumsahihisha huyo ndugu C.T.U hapo juu!
 
Ngoja na wewe uzeeke zeeke kwanza...like father like son..(Just Joking)
 
Ciello acha ubaguzi njoo uchangie mada huku!!!!!!! Yale mshitaka bado yanakuandama! kisoda Nafanya Nijisikiacho kama kumsalimu Ciello! Unalo hilo!
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana nashindwa hata kumleta hapa nyumbani. Na sitafanya kosa la kumleta hata kidogo tutakapokuwa wachumba, labda awe kafa.

pole sana kwa hali unayopitia. najua inauma sana hasa kwa mtu ambaye wewe ulimwamini kwamba awe modo kwako anapokuwa na tabia za kishenzi. si bure baba yako kaathiriwa na ""u-late blooming"" na hivyo kijikuta yuko kwenye mid life crisis.hakukua kwa kufuata njia zote za makuzi ali delay somewhere akaruka stage sasa anajirudia tena nyuma.

jambo la msingi la kufanya kwanza kabisa usiweke chuki nae, wla jeuri ila tu kaa kimya huku ukimtia mama yako moyo na kuwa na nidham njema kwa mama yako. jihimizen katika kusali na kufanya ibada ili Mungu akutane nae kwa wakati wake na hili ndilo jambo la mwisho unaloweza kufanya.

otherwise haya ni maisha yake na huwez kuingilia uhuru wake and he is your father. kama una gf wako mweke mbali asije akamuharibia siku basi.
 
Back
Top Bottom