Kwanza bahati hiyo utaipata wapiSiwezi kufuturu futari iliyoandaliwa na hako kajamaa Kamagu naona nitakuwa najitia mikosi tu
Kwanza bahati hiyo utaipata wapiSiwezi kufuturu futari iliyoandaliwa na hako kajamaa Kamagu naona nitakuwa najitia mikosi tu
Bahati??Kwanza bahati hiyo utaipata wapi
Huna lolote mtu mwenyewe upo huko nanyumbu porini akualike nani!!??Bahati??
Bahati kukaa na hako kajamaa?
Labda nyie msiojielewa ndo mnaona bahati
Kipindi cha Mh kikwete kweli nilikuwa nikialikwa naenda kwa moyo mkunjufu lakini kwa huyo jamaa aisee siwezi kabisa yaani
Wala huwezi kualikwa, na roho lako baya ilooooo. .Siwezi kufuturu futari iliyoandaliwa na hako kajamaa Kamagu naona nitakuwa najitia mikosi tu
SawaHuna lolote mtu mwenyewe upo huko nanyumbu porini akualike nani!!??
Mimi na hao viongozi wa CCM ambao wanakula pesa za rambirambi nani mwenye roho mbaya?Wala huwezi kualikwa, na roho lako baya ilooooo. .
Mkuu, hapo kwenye bold ni jina la fundi kanzu au ulikua na maana nyingine?
Mtu mwenyewe inawezekana hashauriki kabisaMkuu anafanya kazi, anatakiwa awe na mtu smart wakumdesignia nguo, mbona Trump mzee lakini anavaa vizuri jamani why yeye? Wasaidizi mnamuangusha mkuu kwa kweli yeye ni nembo ya nchi so let's not allow it to happen again
Tatizo umeshindwa kutofautisha kati ya kanzu ya kihaya na kiislamu.
Kwa kiislamu hiyo kanzu ndio mwake kabisa,akitokea mwanamke ambaye si haramu kwako kumuoa unamsalimia kwa kufunika kiganja na mkono wa kanzu ili asikutengue.Ndio maana wanaojua kanzu wamekaa kimya
Kanzu sio sawa na suti kamanda
Duh!Huyu mbunifu ambaye amemshonea Raisi John Pombe Magufuli hii kanzu anastahili pongezi kubwa sana!
View attachment 528755