Huyo mke sio wako...

Huyo mke sio wako...

Ndio, ni Mwana wa Adamu. Baada ya kuimaliza kazi iliyomleta duniani, alipaa mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba. Mungu ni mmoja lakini ana nafsi tatu: Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Nafsi tatu lakini Mungu mmoja.
Sasa kwanini unakukuwa mgumu kuelewa kwamba hakuna mungu mmoja kwa hoja hayako hapo juu?
 
Mke ni yul wa kwanza baada ya hapo unazini tu
Yap.
Mathayo 19:9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Mke ni yul wa kwanza baada ya hapo unazini tu
Yap.
Mathayo 19:9
Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
 
Viungo kaumba yesu au MUNGU?
Yesu ni Mungu. Mungu ni mmoja ila ana nafsi tatu: Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu.
Yesu anasema katika

Yohana 10:30​

"Mimi na Baba tu umoja(I and the Father are one)."
 
Ndio, ni Mwana wa Adamu. Baada ya kuimaliza kazi iliyomleta duniani, alipaa mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba. Mungu ni mmoja lakini ana nafsi tatu: Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Nafsi tatu lakini Mungu mmoja.
....Ameketi mkono wa kuume wa Mungu....aliyeketi ni Yesu! Halafu Yesu huyo aliyeketi kuumeni kwa Mungu ni Mungu! Nilisema mapema kuna hitajika akili salama hapa...
 
Back
Top Bottom