Mke ni yul wa kwanza baada ya hapo unazini tuUlifunga ndoa Kanisani, mkasherehekea sana harusi. Baada ya siku chache ukaachana na mke wako, kisha ukaoa mke mwingine. Haukupita muda mrefu ukampa talaka. Kwakuwa hukuweza kuishi peke yako ukaoa tena kwa mara ya tatu mke mwingine.
Utafanyaje ukisikia sauti ya Yesu inakuambia "huyo mke uliye naye sasa sio mke wako..." Utakuwa tayari kumwacha na kumrudia yule mke wa kwanza? Au utapuuza tu sauti hiyo na kujitetea sana?
Siku hizi ndoa nyingi zinavunjika, na watu wanapeana talaka kama risiti.
Katika kitabu cha Yohana 4:16-18
Yesu alimwambia mwanamke msamaria "...nenda kamwite mumeo, uje naye hapa. Yule mwanamke akajibu, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume; kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siyo mume wako; hapo umesema kweli."
Naamini hata leo kuna watu wengi wanaoisikia sauti ya Yesu ikiwaambia: huyo mke/mume sio wako, lakini wanajifanya hawasikii.
Ohooo! Tumuulize Yesu mwenyewe. Haaya....tusome Yohana 8:40. Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli,niliyoisikia kwa MUNGU. Ibrahimu hakufanya hivyo.*** Mwenye akili salama azinduke.Biblia ina mistari/aya nyingi zinazothibitisha wazi kuwa Yesu ni Mungu
Kama mambo ya mtu na mkewe yako ivi si kheri kutokuoaUlifunga ndoa Kanisani, mkasherehekea sana harusi. Baada ya siku chache ukaachana na mke wako, kisha ukaoa mke mwingine. Haukupita muda mrefu ukampa talaka. Kwakuwa hukuweza kuishi peke yako ukaoa tena kwa mara ya tatu mke mwingine.
Utafanyaje ukisikia sauti ya Yesu inakuambia "huyo mke uliye naye sasa sio mke wako..." Utakuwa tayari kumwacha na kumrudia yule mke wa kwanza? Au utapuuza tu sauti hiyo na kujitetea sana?
Siku hizi ndoa nyingi zinavunjika, na watu wanapeana talaka kama risiti.
Katika kitabu cha Yohana 4:16-18
Yesu alimwambia mwanamke msamaria "...nenda kamwite mumeo, uje naye hapa. Yule mwanamke akajibu, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume; kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siyo mume wako; hapo umesema kweli."
Naamini hata leo kuna watu wengi wanaoisikia sauti ya Yesu ikiwaambia: huyo mke/mume sio wako, lakini wanajifanya hawasikii.
Ni kweli, Yesu alipokuwa duniani alikuwa MTU, kwa sababu alikuja duniani akazaliwa ili atuokoe. Lakini wakati huohuo alikuwa MJNGU. Ndio sababu aliitwa Emanueli(God with us)Ohooo! Tumuulize Yesu mwenyewe. Haaya....tusome Yohana 8:40. Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi MTU ambaye nimewaambia iliyo kweli,niliyoisikia kwa MUNGU. Ibrahimu hakufanya hivyo.*** Mwenye akili salama azinduke.
Alipokuwa duniani alikuwa mtu! Unakusudia kusema mwana wa Adamu? Au vinginevyo? Sasa hivi yeye ni nani na yuko kwa nani?Ni kweli, Yesu alipokuwa duniani alikuwa MTU, kwa sababu alikuja duniani akazaliwa ili atuokoe. Lakini wakati huohuo alikuwa MJNGU. Ndio sababu aliitwa Emanueli(God with us)
Mathayo 1:23
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi
kwahiyo DUNIANI kulikuwa na MUNGU na MBINGUNI kuna MUNGU?Ni kweli, Yesu alipokuwa duniani alikuwa MTU, kwa sababu alikuja duniani akazaliwa ili atuokoe. Lakini wakati huohuo alikuwa MJNGU. Ndio sababu aliitwa Emanueli(God with us)
Mathayo 1:23
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi
Ndio, ni Mwana wa Adamu. Baada ya kuimaliza kazi iliyomleta duniani, alipaa mbinguni, ameketi mkono wa kuume wa Mungu Baba. Mungu ni mmoja lakini ana nafsi tatu: Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Nafsi tatu lakini Mungu mmoja.Alipokuwa duniani alikuwa mtu! Unakusudia kusema mwana wa Adamu? Au vinginevyo? Sasa hivi yeye ni nani na yuko kwa nani?
sasa vip awepo Mungu Yesu duniani na Mungu mwenyewe mbinguni? na huyo Mungu yesu akamatwe na wanadamu aliowaumba kisha wamuue (ajitoe roho maana kufa ni kazi ya Mungu) ili wale wale wanadamu aliowaumba waokoke kwa kifo chake huoni Mungu huyo atakuwa anawachezea Shere wanadamu.Mungu ni mmoja. Sifa mojawapo ya Mungu ni kwamba yupo kila mahali(He is Omnipresent)
Kufunga ndoa kumeandikwa wapi katika biblia? Au ni nabii gani aliyefunga ndoa katika biblia??Ulifunga ndoa Kanisani, mkasherehekea sana harusi. Baada ya siku chache ukaachana na mke wako, kisha ukaoa mke mwingine. Haukupita muda mrefu ukampa talaka. Kwakuwa hukuweza kuishi peke yako ukaoa tena kwa mara ya tatu mke mwingine.
Utafanyaje ukisikia sauti ya Yesu inakuambia "huyo mke uliye naye sasa sio mke wako..." Utakuwa tayari kumwacha na kumrudia yule mke wa kwanza? Au utapuuza tu sauti hiyo na kujitetea sana?
Siku hizi ndoa nyingi zinavunjika, na watu wanapeana talaka kama risiti.
Katika kitabu cha Yohana 4:16-18
Yesu alimwambia mwanamke msamaria "...nenda kamwite mumeo, uje naye hapa. Yule mwanamke akajibu, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume; kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siyo mume wako; hapo umesema kweli."
Naamini hata leo kuna watu wengi wanaoisikia sauti ya Yesu ikiwaambia: huyo mke/mume sio wako, lakini wanajifanya hawasikii.
Ina maana Biblia huisomi kabisa? Jaribu hata ku google utapata jibu la swali hilo rahisiKufunga ndoa kumeandikwa wapi katika biblia? Au ni nabii gani aliyefunga ndoa katika biblia??
Tuanzie hapo kwanza kabla hatujapotezwa na ukoloni kupitia tamaduni za wazungu na waarabu (ndoa za mashela na pete)
Pana siri kubwa sana kwenye Ndoa kama ulikuwa hujui!!Ulifunga ndoa Kanisani, mkasherehekea sana harusi. Baada ya siku chache ukaachana na mke wako, kisha ukaoa mke mwingine. Haukupita muda mrefu ukampa talaka. Kwakuwa hukuweza kuishi peke yako ukaoa tena kwa mara ya tatu mke mwingine.
Utafanyaje ukisikia sauti ya Yesu inakuambia "huyo mke uliye naye sasa sio mke wako..." Utakuwa tayari kumwacha na kumrudia yule mke wa kwanza? Au utapuuza tu sauti hiyo na kujitetea sana?
Siku hizi ndoa nyingi zinavunjika, na watu wanapeana talaka kama risiti.
Katika kitabu cha Yohana 4:16-18
Yesu alimwambia mwanamke msamaria "...nenda kamwite mumeo, uje naye hapa. Yule mwanamke akajibu, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema, Sina mume; kwa maana umekuwa na waume watano, naye uliye naye sasa siyo mume wako; hapo umesema kweli."
Naamini hata leo kuna watu wengi wanaoisikia sauti ya Yesu ikiwaambia: huyo mke/mume sio wako, lakini wanajifanya hawasikii.
HAPANA.....yeye Muumba yupo mbinguni bali uwezo wake upo mahali POTE.Mungu ni mmoja. Sifa mojawapo ya Mungu ni kwamba yupo kila mahali(He is Omnipresent)
Yesu hajawahi kumuumba binadamuHee, Aliyeumba viungo vyote vya mwili wako ashindwe kuwa mshauri wa ndoa? Jina jingine la Yesu ni Mshauri wa Ajabu.
Wewe ni mkristu kweli?Biblia ina mistari/aya nyingi zinazothibitisha wazi kuwa Yesu ni Mungu