Huyo jamaa vipi?

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,950
711
View attachment 20514Jamani nimekutana na hii picha samuwea nikaona niitundike hapa ili tujue kulikoni.
Angalia huyo jamaa nyuma ya Shein, alikuwa anashika nini vile?

005901.JPG
 
Huyu jamaa alikuwa anarudisha simu anaitwa oscar a .k.a chuma ndo mlinzi mkuu wa rais wa smz na ndie aliyepata ajali na mh sokoine.
 
Back
Top Bottom