Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 15,762
- 37,390
Asilimia kubwa sisi wanadamu tunaogopa kurisk.
Nimetanguliza neno risk sio kwa sababu kila jambo unaweza risk.
Mfano: Leo utashangaa kuona kila mtu anaiga biashara ambayo ipo tayari kwenye soko, jiulize wali risk wote jibu linakuja hapana.
Biashara zenye kukupa utajiri zimejaa risk sana na watu wengi kuogopa au kuthubutu mpaka amuone fulani kajaribu na alivopitia ndio yeye afanye huku hafahamu risk ilivyo.
Tatizo kubwa kuanzia ngazi za juu mpaka wananchi swala la elimu ya risk management.
risk management elimu hii kwa tanzania inatakiwa kuwa stashaada kabisa ili kupata wataalamu watakao kuwa wanaweza kutambua na kuendesha ili kukabiliana na risk.
Nimetanguliza neno risk sio kwa sababu kila jambo unaweza risk.
Mfano: Leo utashangaa kuona kila mtu anaiga biashara ambayo ipo tayari kwenye soko, jiulize wali risk wote jibu linakuja hapana.
Biashara zenye kukupa utajiri zimejaa risk sana na watu wengi kuogopa au kuthubutu mpaka amuone fulani kajaribu na alivopitia ndio yeye afanye huku hafahamu risk ilivyo.
Tatizo kubwa kuanzia ngazi za juu mpaka wananchi swala la elimu ya risk management.
risk management elimu hii kwa tanzania inatakiwa kuwa stashaada kabisa ili kupata wataalamu watakao kuwa wanaweza kutambua na kuendesha ili kukabiliana na risk.