Huwezi kukomboa nchi Afrika wa mabango

Huwezi kukomboa nchi Afrika wa mabango

Nadhani mmeona kilichotokea tarehe 29 mpaka tarehe 3 Sasa nimeona watu wanasema eti tarehe 9 wanaenda kuchukua nchi yao my friend tanzania jeshi lipo na mtawala polisi wapo na matawala usalama wa taifa wako na mtawala.

Hawa wote wanapenda wananchi wanavyouliwa na wao pia wanashiriki Kwa asilimia 100% Ili wapandishiwe mishahara na Kila siku wanapandishiwa mishahara Ili masikini akiongea apotezwe hupati nchi Kwa mabango na kupiga kelele njia wote tunaijua sikutarajia kama raia mtakurupuka kwenda kufa tena tarehe 9 huku nguvu kazi ambao ni vijana majasiri wa kuingia msituni ikiisha yaani mpaka Sasa mkunda kashawaambia wanajeshi wajae ikulu na bungeni siku hiyo.

Hivi kwa akili yenu mnaweza kupita mkiwa na mabango yenu? njia pekee nafikiri mnaijua ni vinginevyo CCM watatawala sana.
Yes nchi haiokombolewi kwa karatasi bali kwa ncha ya Upanga.

Mmmhhhhhh Ni lazima kuliamsha Dude ndipo ukombozi upatikane.
 
Yes nchi haiokombolewi kwa karatasi bali kwa ncha ya Upanga.

Mmmhhhhhh Ni lazima kuliamsha Dude ndipo ukombozi upatikane.
Ni lazima anaekuzuia nae aonje Radha ya upanga lazima akuachie nchi
 
Mimi sisikitiki watu kuuawa, BALI NA-APPRECIATE MCHANGO WAO kwasababu, ukombozi wowote wa nchi lazima uwe na gharama yake.

Huwezi kukomboa nchi kifara fara.

R.I.P our soldiers of Gen Z army
 
Hata Idd Amin aliua sana askari wetu lakin at the end of the day tuliikomboa nchi yetu.
Hata polisi watatuua sana lakini nchi tutaikomboa tu
 
Mimi sisikitiki watu kuuawa, BALI NA-APPRECIATE MCHANGO WAO kwasababu, ukombozi wowote wa nchi lazima uwe na gharama yake.

Huwezi kukomboa nchi kifara fara.

R.I.P our soldiers of Gen Z army
Sijasikitika ila. Je adui yetu si tushamjua staili anayojia. Tunaendaje kama tulivyoenda mwanzo hiyo itakua akili au tope
 
Hata Idd Amin aliua sana askari wetu lakin at the end of the day tuliikomboa nchi yetu.
Hata polisi watatuua sana lakini nchi tutaikomboa tu
Tumia akili mzee polisi wanaua watu hovyo hivi Kwa akili Yako watu wakiona wanauwawa na hamna kinachobadilika wataendelea kutoka kuandamana huku wahamasishaji mkisema maandamano ya amani halafu mtu anaona ndugu yake anauwawa nyie mmekalia kusema maandamano ya amani wakati uhasiloa hamna Cha amani na hamna kitu kinachobadilika zaidi ya polisi kuua je huyo mtu ataendelea kuwasikiliza
 
Tumia akili mzee polisi wanaua watu hovyo hivi Kwa akili Yako watu wakiona wanauwawa na hamna kinachobadilika wataendelea kutoka kuandamana huku wahamasishaji mkisema maandamano ya amani halafu mtu anaona ndugu yake anauwawa nyie mmekalia kusema maandamano ya amani wakati uhasiloa hamna Cha amani na hamna kitu kinachobadilika zaidi ya polisi kuua je huyo mtu ataendelea kuwasikiliza
Mbona kama umekurupuka Gen Z mwenzangu. Em soma post yangu iliyotangulia kabla ya hiyo uloni-quote .
 
Nadhani mmeona kilichotokea tarehe 29 mpaka tarehe 3 Sasa nimeona watu wanasema eti tarehe 9 wanaenda kuchukua nchi yao my friend tanzania jeshi lipo na mtawala polisi wapo na matawala usalama wa taifa wako na mtawala.

Hawa wote wanapenda wananchi wanavyouliwa na wao pia wanashiriki Kwa asilimia 100% Ili wapandishiwe mishahara na Kila siku wanapandishiwa mishahara Ili masikini akiongea apotezwe hupati nchi Kwa mabango na kupiga kelele njia wote tunaijua sikutarajia kama raia mtakurupuka kwenda kufa tena tarehe 9 huku nguvu kazi ambao ni vijana majasiri wa kuingia msituni ikiisha yaani mpaka Sasa mkunda kashawaambia wanajeshi wajae ikulu na bungeni siku hiyo.

Hivi kwa akili yenu mnaweza kupita mkiwa na mabango yenu? njia pekee nafikiri mnaijua ni vinginevyo CCM watatawala sana.
Let's wait and see
 
Hakuna sentensi. Hakuna aya. Ni mpayuko tu usio na mantiki wala substance kutoka kwa mtu asiyejua cho chote kuhusu utashi wa umma. Hata juzi hapa Nepal na Madagascar sijui hakusikia.

Ukweli ni kwamba hakuna jeshi, chama wala serikali inayoweza kupambana na wananchi ambao hawaogopi kufa na ikashinda. Na ni vigumu sana kuwatawala watu ambao hawakutaki. Historia ina mifano mingi sana. Serikali itaua na kufunga lakini mwisho itasalimu amri tu. Tendeni haki!

View attachment 3500636
Mkuu jitu linaongea ongea hakuna content yoyote ya maana.. Halijapangialia mawazo ni bora tu liende...

Haya majitu wenzao wakati tunaenda shule yenyewe sijui yalikua yame concentrate na nini maana limeandika mada yake halitoi hata way forward.


Likisikia mambo ya Nepal, Madagascar lenyewe litakua linahisi haya mambo ni ya dunia nyingine labda Pluto huko... Mtanisamehe haya majitu yasiyoenda shule siwezi kuyavumilia.
 
Nadhani mmeona kilichotokea tarehe 29 mpaka tarehe 3 Sasa nimeona watu wanasema eti tarehe 9 wanaenda kuchukua nchi yao my friend tanzania jeshi lipo na mtawala polisi wapo na matawala usalama wa taifa wako na mtawala.

Hawa wote wanapenda wananchi wanavyouliwa na wao pia wanashiriki Kwa asilimia 100% Ili wapandishiwe mishahara na Kila siku wanapandishiwa mishahara Ili masikini akiongea apotezwe hupati nchi Kwa mabango na kupiga kelele njia wote tunaijua sikutarajia kama raia mtakurupuka kwenda kufa tena tarehe 9 huku nguvu kazi ambao ni vijana majasiri wa kuingia msituni ikiisha yaani mpaka Sasa mkunda kashawaambia wanajeshi wajae ikulu na bungeni siku hiyo.

Hivi kwa akili yenu mnaweza kupita mkiwa na mabango yenu? njia pekee nafikiri mnaijua ni vinginevyo CCM watatawala sana.
Umeangalia upande mmoja tu, baada ya kuwa exposed kwa mataifanya nje, unadhan serikal iko tayari ku risk repeating the same mistake?
 
Tumia akili Nepal na Madagascar majeshi Yao yamewaunga mkono Sasa jiulize tanzania walikua barabarani siku 6 na wameuwawa watu zaidi ya watu elfu 10000 kiasi kwamba ujue wananchi walishamaliza kazi hao wanajeshi wamekua kama masanamu wakati Madagascar watu wamekufa watu 26 tu jeshi limechukua nchi
Kwa hiyo hapo kosa ni la wanajeshi au wananchi? Unaongea pumba tu hutoi hata suggestion kipi kifanyike!

Content zako umeziandika ukiwa umekatwa kichwa nini... nyie ndio mnaofanya ionekane kweli binadamu alikua nyani.
 
Kwa hiyo hapo kosa ni la wanajeshi au wananchi? Unaongea pumba tu hutoi hata suggestion kipi kifanyike!

Content zako umeziandika ukiwa umekatwa kichwa nini... nyie ndio mnaofanya ionekane kweli binadamu alikua nyani.
Tumia akili we ndio umekatwa kichwa Mimi nimesema wananchi hawawezi kukomboa nchi Kwa kubeba mabango Africa hii kama jeshi halkuungi mkono na kama unabisha beba bango bila silaha ingia barabarani tarehe 9 kama jeshi na polisi watakuacha uende ukamtoe bosi wao ikulu
 
Ohh kazi kwenu 9 Dec. Polisi kama dawa msiwaachie hao wezi waibe na kuchoma mali
 
Back
Top Bottom