Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,473
- 12,857
Huwezi kuilinganisha CCM na vyama vingine hapa afrika.Tumetoka mbali,tumepitia milima na mabonde, tumepitia mifarakano na mipasuko na tumekomaa na siasa za kiafrika na tunajua nini maana ya kushika dola na kuiongoza kimkakati.
Sasa unapokuwa unazungumzia siasa za Tanzania usiilinganishe CCM na vyama vichanga kisiasa kama Chadema au ACT Wazalendo au NCCR Mageuzi au CUF.
Watakuja watu na watapita CCM itabaki palepale na ukitaka kuijua CCM utufuate watu wa CCM tukujuze kuhusu CCM sababu CCM ina wenyewe.
Sasa unapokuwa unazungumzia siasa za Tanzania usiilinganishe CCM na vyama vichanga kisiasa kama Chadema au ACT Wazalendo au NCCR Mageuzi au CUF.
Watakuja watu na watapita CCM itabaki palepale na ukitaka kuijua CCM utufuate watu wa CCM tukujuze kuhusu CCM sababu CCM ina wenyewe.