Huwajui waluguru ndio maana

Huwajui waluguru ndio maana

nimeishi pia na waliguru ht ukimkuta Profesa mluguru jua kbs 100%anaroho mbaya...mie simo shost
Nakumbuka katika moja ya vipindi vya kambi popote kutoka kwa Antonio Nugaz, katika mahojiano na baadhi yao, wao wenyewe walikua wanakiri kwamba wana ubinafsi. Hata ndugu kuinuana ni ngumu kwa maana aliyejuu anaogopa asije kupitwa, anataka ndugu wamlilie shida, wamuombe, wambembeleze, hiyo ndo fahari ya aliye juu kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka katika moja ya vipindi vya kambi popote kutoka kwa Antonio Nugaz, katika mahojiano na baadhi yao, wao wenyewe walikua wanakiri kwamba wana ubinafsi. Hata ndugu kuinuana ni ngumu kwa maana aliyejuu anaogopa asije kupitwa, anataka ndugu wamlilie shida, wamuombe, wambembeleze, hiyo ndo fahari ya aliye juu kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe sema kweli??hahhaa aisee kumbe wanajijua😂😂mue hawa watu wamenifanyiaga roho mbaya sana kweñye masuala ya biashara jaman..had unarudi nyuma unajiuliza nimemkosea huyu nn??alafu asbh akikuona anakuomba walau hela ya supu..nyuma anakuumiza mno mno..!dah
 
wewe sema kweli??hahhaa aisee kumbe wanajijuamue hawa watu wamenifanyiaga roho mbaya sana kweñye masuala ya biashara jaman..had unarudi nyuma unajiuliza nimemkosea huyu nn??alafu asbh akikuona anakuomba walau hela ya supu..nyuma anakuumiza mno mno..!dah
Kweli ukiipata hiyo clip ya kambi popote utasikia mwenyewe, ila wanadai "siku hizi wanabadilika".


Fungua YouTube: Kambi Popote Mila na Desturi ya Watu wa Morogoro Part2.
 
Walaguru si ndio wale walioitwa malofa!!?
Hata Lodi lofa ni mluguru
Mtu kakurupuka kaleta uzi humu, japo ni wa muda kidogo, anaponda kabila hili adhimu kabisa hapa Tz, et ooh wabish, mara wafupi.

Unawajua kwanza waluguru kama hili ndo kabila pekee Tz lililotoa wagombea wawili wa vyama viwili tofauti wakashindana na Nyerere kugombea urais, kipindi wakoloni wanataka kutoa uhuru

Na inadaiwa hao waluguru wawili yaani Mtemvu na Kunambi walimchemsha saana mwalimu, alikuwa anakosa hadi usingizi akiwafikiria waluguru wale

Hadi ndo chanzo mwalimu kuwa mbunge morogoro ili kuwa-counter check wapinzani wake wale.

Kwa hyo dharau muache, waluguru kitambo waliamka, kipindi ambacho hata akina nshomile, bado wanatafta ma-phd,

Na mpaka leo waluguru wako vizur, hata ukiangalia kwenye kada ya mpira wa miguu, wao ndo kama kiwanda cha wachezaji nchini

#Hebu_acha_dharau_wewee

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent by Diaspora
 
Nimecheka sana . Kwanza hao waluguru uliowatolea mfano kumbe walishindwa kwa Nyerere eti unajisifia kuwa walimsumbua.
Pili mfano wa sasa unaoutoa eti tuangalie wachezaji wa mpira,wachezaji haohao walioishia simba na yanga.
Nimekulia maisha yangu yote ya utoto na ujana Morogoro , nawafahamu vizuri nyie watu. Ni wafupi, wabishi washirikina bila kusahau wavivu

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo point ya uvivu hiyo naiwekea mkazo kbs,Hawapendi kujishuhulisha wanapenda mtelezo tu,hawapendi kusoma ,kuchezwa ndio kitu wanapenda sn kwa jinsia ya kike
 
Mtu kakurupuka kaleta uzi humu, japo ni wa muda kidogo, anaponda kabila hili adhimu kabisa hapa Tz, et ooh wabish, mara wafupi.

Unawajua kwanza waluguru kama hili ndo kabila pekee Tz lililotoa wagombea wawili wa vyama viwili tofauti wakashindana na Nyerere kugombea urais, kipindi wakoloni wanataka kutoa uhuru

Na inadaiwa hao waluguru wawili yaani Mtemvu na Kunambi walimchemsha saana mwalimu, alikuwa anakosa hadi usingizi akiwafikiria waluguru wale

Hadi ndo chanzo mwalimu kuwa mbunge morogoro ili kuwa-counter check wapinzani wake wale.

Kwa hyo dharau muache, waluguru kitambo waliamka, kipindi ambacho hata akina nshomile, bado wanatafta ma-phd,

Na mpaka leo waluguru wako vizur, hata ukiangalia kwenye kada ya mpira wa miguu, wao ndo kama kiwanda cha wachezaji nchini

#Hebu_acha_dharau_wewee

Sent using Jamii Forums mobile app
Katka makabila ambayo hayana maendeleo ni warugulu. ... hili kabila la hvyo sana washirikina mno wabishi balaa...
Ukitaka kuamini katikati ya mji wa morogoro mitaa kama mlapakolo mtoni street kote kuna nyumba za miti na zmeoza. ..ndani ya nyumba hzo unakuta bibi babu ,mama wajukuu watoto wao wote wanaishi humo humo na wazalishwa humohumo utakuta bint ana miaka 19 Lakn ana watoto watatu wanaishi nyumba hyo hyo ya ukoo. ....

Yaani ukitaka kuwa masikin oa mluguru ukoo wa mjomba babu shangazi binamu wote watahamia kwako kazi yao ni kushinda kwenye vigodoro usiku na mchana
 
Katka makabila ambayo hayana maendeleo ni warugulu. ... hili kabila la hvyo sana washirikina mno wabishi balaa...
Ukitaka kuamini katikati ya mji wa morogoro mitaa kama mlapakolo mtoni street kote kuna nyumba za miti na zmeoza. ..ndani ya nyumba hzo unakuta bibi babu ,mama wajukuu watoto wao wote wanaishi humo humo na wazalishwa humohumo utakuta bint ana miaka 19 Lakn ana watoto watatu wanaishi nyumba hyo hyo ya ukoo. ....

Yaani ukitaka kuwa masikin oa mluguru ukoo wa mjomba babu shangazi binamu wote watahamia kwako kazi yao ni kushinda kwenye vigodoro usiku na mchana


Mungu nisaidie niscomment kwa hii comment😂😂maana nina rafiki humu mluguru😂😂😂😷😷😷
 
Kijana wa miaka 24 wa kihehe ni tofauti kbs kbs na kijana umri huo wa kiluguru..sijui kwann jaman!kija a wa umri huo mhehe ukikaa naye utajua hapa nimekaa na kijana anayejitambua..mara nyingi atakuambia nimelima eka 2 za mahindi au maharage..au atakuwa ana bustan za njegere au kabeji..
huyu wa 24mluguru age hyo..ametoroka kwao amempa mimba mtoto wa jiran..ashanyoa kiduku akijitahf sana baa anaendesha boda ya kugongea kwa mshikaji...!hela anayopata inapitiliza dukan anunue pamba ashine😂
 
Back
Top Bottom