Huwajui waluguru ndio maana

Huwajui waluguru ndio maana

Nimecheka sana . Kwanza hao waluguru uliowatolea mfano kumbe walishindwa kwa Nyerere eti unajisifia kuwa walimsumbua.
Pili mfano wa sasa unaoutoa eti tuangalie wachezaji wa mpira,wachezaji haohao walioishia simba na yanga.
Nimekulia maisha yangu yote ya utoto na ujana Morogoro , nawafahamu vizuri nyie watu. Ni wafupi, wabishi washirikina bila kusahau wavivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi yao ni kucheza vigodoro tu na ushirikina watoto wa kike wanapendaa kuzalishwa hvyo Kila mtoto na baba yake...
Pamoja na kuzalishwa ovyo Lakn bado familia zao wanafurahia kitendo hicho mpaka wanawawekea sherehe wanazoziita kinemwa
 
Kazi yao ni kucheza vigodoro tu na ushirikina watoto wa kike wanapendaa kuzalishwa hvyo Kila mtoto na baba yake...
Pamoja na kuzalishwa ovyo Lakn bado familia zao wanafurahia kitendo hicho mpaka wanawawekea sherehe wanazoziita kinemwa


😂😂😂hushangai ht siku 1 kijana aLomzalisha akawa anakula bia na babamkwe mtoto haend ht shule. yaan kwa elimu ndo nachoka. hawajali kbs. mrad kijana wao ana endesha pikipiki UMEMALIZA
 
Kijana wa miaka 24 wa kihehe ni tofauti kbs kbs na kijana umri huo wa kiluguru..sijui kwann jaman!kija a wa umri huo mhehe ukikaa naye utajua hapa nimekaa na kijana anayejitambua..mara nyingi atakuambia nimelima eka 2 za mahindi au maharage..au atakuwa ana bustan za njegere au kabeji..
huyu wa 24mluguru age hyo..ametoroka kwao amempa mimba mtoto wa jiran..ashanyoa kiduku akijitahf sana baa anaendesha boda ya kugongea kwa mshikaji...!hela anayopata inapitiliza dukan anunue pamba ashine😂
Hahahaha Nimegundua humu jukwaani waluguru sio wengi la sivyo 😀
 
Kazi yao ni kucheza vigodoro tu na ushirikina watoto wa kike wanapendaa kuzalishwa hvyo Kila mtoto na baba yake...
Pamoja na kuzalishwa ovyo Lakn bado familia zao wanafurahia kitendo hicho mpaka wanawawekea sherehe wanazoziita kinemwa
Duh hatari
 
Hahahaha Nimegundua humu jukwaani waluguru sio wengi la sivyo 😀


😂😂bwana eh huo ni ukweli tupu...ila age hyo kijana wa kisukuma at 24age ashaoa n ashajenga kakibanda pemben ya nyumba ya wazaz..na ana watoto3..!wakisukuma hawahami home kwao aiseee anajenga hapo hapo..so masuala ya misos mnashare..ni kazi ya kuzaa tu na kulima😂😂..ila wakihehe jaman wapo smart sana....wahehe mtoto ana 12yrs ashaanza jitegemea ..yaan ana geto ana godoro tayari yaan vipo smart mno sema wana hhasira na kiburi
 
Katka makabila ambayo hayana maendeleo ni warugulu. ... hili kabila la hvyo sana washirikina mno wabishi balaa...
Ukitaka kuamini katikati ya mji wa morogoro mitaa kama mlapakolo mtoni street kote kuna nyumba za miti na zmeoza. ..ndani ya nyumba hzo unakuta bibi babu ,mama wajukuu watoto wao wote wanaishi humo humo na wazalishwa humohumo utakuta bint ana miaka 19 Lakn ana watoto watatu wanaishi nyumba hyo hyo ya ukoo. ....

Yaani ukitaka kuwa masikin oa mluguru ukoo wa mjomba babu shangazi binamu wote watahamia kwako kazi yao ni kushinda kwenye vigodoro usiku na mchana
Wewe nawe bure kabisa, sasa unatoa hoja ya nyumba za udongo, kuna mkoa ambao hauna hizo nyumba, kariakoo kwenyewe zipo hizo nymba,

Halafu watu wengi hawajengagi nyumba za familia kwa sababu sio yako peke yako, unajienga leo kesho inauzwa

Ushirikina inaonekana hata wewe ni mshirikina pia, labda ulikuwa unapigaga ramli ukawajua waluguru ndo wanakuroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu kakurupuka kaleta uzi humu, japo ni wa muda kidogo, anaponda kabila hili adhimu kabisa hapa Tz, et ooh wabish, mara wafupi.

Unawajua kwanza waluguru kama hili ndo kabila pekee Tz lililotoa wagombea wawili wa vyama viwili tofauti wakashindana na Nyerere kugombea urais, kipindi wakoloni wanataka kutoa uhuru

Na inadaiwa hao waluguru wawili yaani Mtemvu na Kunambi walimchemsha saana mwalimu, alikuwa anakosa hadi usingizi akiwafikiria waluguru wale

Hadi ndo chanzo mwalimu kuwa mbunge morogoro ili kuwa-counter check wapinzani wake wale.

Kwa hyo dharau muache, waluguru kitambo waliamka, kipindi ambacho hata akina nshomile, bado wanatafta ma-phd,

Na mpaka leo waluguru wako vizur, hata ukiangalia kwenye kada ya mpira wa miguu, wao ndo kama kiwanda cha wachezaji nchini

#Hebu_acha_dharau_wewee

Sent using Jamii Forums mobile app

WWatani zangu hawa kwao mluguru mwenzao akipata hela halafu akajenga nyumba nzuri wanaanza kumsema kwa maneno "kazopata, kazozenga. kazoringa", wakiwa wanaamaanisha kuwa akipata anajenga halafu anaringa!
 
Kijana wa miaka 24 wa kihehe ni tofauti kbs kbs na kijana umri huo wa kiluguru..sijui kwann jaman!kija a wa umri huo mhehe ukikaa naye utajua hapa nimekaa na kijana anayejitambua..mara nyingi atakuambia nimelima eka 2 za mahindi au maharage..au atakuwa ana bustan za njegere au kabeji..
huyu wa 24mluguru age hyo..ametoroka kwao amempa mimba mtoto wa jiran..ashanyoa kiduku akijitahf sana baa anaendesha boda ya kugongea kwa mshikaji...!hela anayopata inapitiliza dukan anunue pamba ashine
jaman muwe mnafanya hata viutafit au mnauliza basi sio mnakurupuka tu kuchangia nyuzi,

Umeleta hoja ya wahehe kulima, sasa waluguru hawalimi au, morogoro ingetajwa vip kuwa ghala la taifa, hao uliowataja si wanalima vimbogamboga tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
bwana eh huo ni ukweli tupu...ila age hyo kijana wa kisukuma at 24age ashaoa n ashajenga kakibanda pemben ya nyumba ya wazaz..na ana watoto3..!wakisukuma hawahami home kwao aiseee anajenga hapo hapo..so masuala ya misos mnashare..ni kazi ya kuzaa tu na kulima..ila wakihehe jaman wapo smart sana....wahehe mtoto ana 12yrs ashaanza jitegemea ..yaan ana geto ana godoro tayari yaan vipo smart mno sema wana hhasira na kiburi
Hao wasukuma ndo buure kabisa, kwa u-trekta si wapingi, ila wakishavuna ndo utawajua kuwa ni mapimbi tu

Na baadhi ya mikoa madada poa washawashtukia, wanaenda kuweka kambi kwenye vijiji vyao kipndi cha mavuno

Ndo maana most of them, kazi kuubwa mafanikio nukta,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jaman muwe mnafanya hata viutafit au mnauliza basi sio mnakurupuka tu kuchangia nyuzi,

Umeleta hoja ya wahehe kulima, sasa waluguru hawalimi au, morogoro ingetajwa vip kuwa ghala la taifa, hao uliowataja si wanalima vimbogamboga tu



Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂kama unaishi moro niambie nikuoneshe mashambaya waluguru ufe kwa kucheka...
Binafsi nna shamba la 🍓🍓..nilikuta wenyeji wamelima ukubwa wa sebule kubwa amemaliza. .ukikuta mahidni amelima hatu 20 tu amemaliza..hahhaa ww usibishe tu...km upo moro sema nikuoneshe mashamba ya waluguru ya 🍓upime hatua kama kuna mtu ana hata heka 2 au 1 😏
 
Hao wasukuma ndo buure kabisa, kwa u-trekta si wapingi, ila wakishavuna ndo utawajua kuwa ni mapimbi tu

Na baadhi ya mikoa madada poa washawashtukia, wanaenda kuweka kambi kwenye vijiji vyao kipndi cha mavuno

Ndo maana most of them, kazi kuubwa mafanikio nukta,

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukinisoma sijawasifia wasukuma..nimewasifia wahehe..ila nikafananisha na wasukuma age hyo ana watt wa3 na mke ana mimba..!ila wameamkasana twende ifakara unionese ht nachine ya kukoboa mpunga isio ya msukuma..majumba yt mazuri ya ifakara ni wasukuma 100%
 
Unachobisha ni nini?
Au umeamua kubishana tu kwa vile kubisha kupo? !!

Kama ni nyumba ya ukoo kwanini hamzikarabati?

Kwanini baba mama babu bibi wajukuu zenu watoto wenu wajomba zenu wote mnaishi na kuzaliana kwenye pagala hilohilo?
Ni kwanini hamjiongezi akili hata mmoja ajitoe ajenge nyumba yake pembeni?
Kwanini mnaruhusu watoto wenu wa kike kugongewa na kuzalishwa watoto ovyo kwenye nyumba za ukoo?

Kwanini hamsomeshi watoto zaidi ya kuwa bodaboda na kucheza singeli?

Nitajie hata warugulu watatu ambao ni maprofessor au Dr? !!!

Acha kutetea ujinga ndio maana sasa hivi tumeamua kuwahamisha wote mkakae kinole na bwakila huko.....
Hapa mjini utatukuta wanyakyusa wasukuma na wachagga basi. ...
Wewe nawe bure kabisa, sasa unatoa hoja ya nyumba za udongo, kuna mkoa ambao hauna hizo nyumba, kariakoo kwenyewe zipo hizo nymba,

Halafu watu wengi hawajengagi nyumba za familia kwa sababu sio yako peke yako, unajienga leo kesho inauzwa

Ushirikina inaonekana hata wewe ni mshirikina pia, labda ulikuwa unapigaga ramli ukawajua waluguru ndo wanakuroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni nshomile, nimezaa na mrugulu, aisee muziki niliochezeshwa sio wa dunia hii, mipasho, maneno mengi, kila Mara kavaa Dela, mashost mtaa mzima na kila Mara kila siku anaomba kwenda kwao aisee.

Nilichoka kwa kweli. maana alianza kunawili huku Mimi mwili ukipotea, nikakosa balance kabisa kimaisha mwisho nikaona isiwe taabu sijamuoa huyu wacha nimrudishe kwako, siku ya kuondoka alikomba nyumba nzima nikabaki na nguo zangu,viatu na mavuzi yangu tu.

Ila kitandani na suala la misosi plus usafi nawahusudu sanaaaa halafu wana maumbo mazuri mazuri kabisa sema tabia ndo hamna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulima wanalima basi?
Hawa wanalima viplot. ..
Mluguru akilima sana amelima matebembele nje ya nyumba yake na mahindi matuta matatzo. ....
kama unaishi moro niambie nikuoneshe mashambaya waluguru ufe kwa kucheka...
Binafsi nna shamba la ..nilikuta wenyeji wamelima ukubwa wa sebule kubwa amemaliza. .ukikuta mahidni amelima hatu 20 tu amemaliza..hahhaa ww usibishe tu...km upo moro sema nikuoneshe mashamba ya waluguru ya upime hatua kama kuna mtu ana hata heka 2 au 1
 
Nimecheka sana . Kwanza hao waluguru uliowatolea mfano kumbe walishindwa kwa Nyerere eti unajisifia kuwa walimsumbua.
Pili mfano wa sasa unaoutoa eti tuangalie wachezaji wa mpira,wachezaji haohao walioishia simba na yanga.
Nimekulia maisha yangu yote ya utoto na ujana Morogoro , nawafahamu vizuri nyie watu. Ni wafupi, wabishi washirikina bila kusahau wavivu

Sent using Jamii Forums mobile app


Kazia hapo kwenye UFUPI (ingawa ni majaliwa ya Mungu) na UVIVU
 
Kulima wanalima basi?
Hawa wanalima viplot. ..
Mluguru akilima sana amelima matebembele nje ya nyumba yake na mahindi matuta matatzo. ....


😂😂😂ndo nilichomjib mm..analima hatua 5 mahidn amemaliza hahahaa huyu hajitambui huyu
 
Mimi ni nshomile, nimezaa na mrugulu, aisee muziki niliochezeshwa sio wa dunia hii, mipasho, maneno mengi, kila Mara kavaa Dela, mashost mtaa mzima na kila Mara kila siku anaomba kwenda kwao aisee.

Nilichoka kwa kweli. maana alianza kunawili huku Mimi mwili ukipotea, nikakosa balance kabisa kimaisha mwisho nikaona isiwe taabu sijamuoa huyu wacha nimrudishe kwako, siku ya kuondoka alikomba nyumba nzima nikabaki na nguo zangu,viatu na mavuzi yangu tu.

Ila kitandani na suala la misosi plus usafi nawahusudu sanaaaa halafu wana maumbo mazuri mazuri kabisa sema tabia ndo hamna kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo kwenye usafi labda na ndio maana wengi ni (Mabeki 3) kwenye umbo sina uhakika
 
Shida yao kubwa na ya hatari ni uchawi. Hapa nimewtenganisha na wakazi wengi wa Pwani ambao wao ni washirikina. Waluguru wengi ni wachawi wachawi. Hasahasa watu wazima na wazee ila kwa sasa vijana wao wanabadilika hasa waliopo mijini ila wale wa vijijini doh...wachawi mpaka basi. Mapungufu yao mengine mengi yanarekebishika na yapo kwa mmoja mmoja.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Back
Top Bottom