Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,929
Tafuta mke au demu akuvushe kwenye hilo jangaUmesahau mi mwenyewe nina kijiubabe fulani hivi
Tafuta mke au demu akuvushe kwenye hilo jangaUmesahau mi mwenyewe nina kijiubabe fulani hivi
Amen mpendwa..Tukutane kwenye kwaya.Mpendwa, bwana asifiwe....
Aisee naomba connectionNtampa akija PM ondoa shaka
Poa. Njoo nikuvusheKuwa demu wangu basi univushe
Hiyo hali hua inanitokea sometime, ikinitokea hua namcheki kijana atanipa story za kuchekesha basi najikuta narudi kwenye mood😃Eeh bana.
Au we unafanyaje ukiwa stressed? Joanah ana stress ambazo uwa hazieleweki zinabase eneo lipi. Yan unajikuta tu little angry, little happi, little disappointed, frustrated and the like. Simply you become tired of everything.
Uwa unatoka aje hapo?
Nimeshamjibu hapo juu, cheki kama hyo inaweza kukufaaAkijibu nitag
Japo hii ya kuoga maji baridi naichukua teh!
Ongeza mda wa kupumzika akili ikae sawaKiasi
Kuna vireport vichache vilikuwa vinanipa stress mwisho mwisho mwa mwezi huu lakini napambana kukamilisha
Hahaha. So umewahi kujiwekea objectives za kufikia katika maisha yako?Niliyonayo mi ni ya muda mrefu hadi inasumbua kufunguka sometimes...
Friji anayo au barafu za kununua zipo jirani maji lazma yawe ya baridi sio lazma aje huko ndipo yawe ya baridiTatizo upo Dar hii haitokufaa. Ni kuoga maji baridiii ukitoka hapo unakuwa busy na kutetemeka 😂
Cc Chaliifrancisco
Yeboooo 🧚♀️🧚♀️🧚♀️Ukipata dudu la uhakika unafika kileleni at least mara tatu negative attitude KWISHNEY. 👅👅👅
Eee mwambie huyoooAtulize mshono asee
Kama katuma link atume na link ya VPN
📌📌Mimi ikinitokea suluhisho huwa ni moja tu.
Kuongea na washkaji ambao najua they have nothing to demand on me. Yaani hawakuambii chochote kuhusu kulewa wala maendeleo, ni kucheka na kufurahi tu kuhusu kipindi cha nyuma.
Talking with my little kids, hawana chochote cha kukuomba bali kufurahia tu. Napata amani sana ya moyo.
Joanah, get a baby. Hata ukiitwa single mama, it is better for your healthy soul. Mtoto ni dawa haswa kipindi chako cha ujana na utafutaji.
Pole sana, hii hali mie hunipata nikiwa sina hela nimefulia mbaya....ntajisikia upweke, ntakumbuka hadi ndugu waliofariki, sitamani kazi, yani ni mengi.
Nikiwa na hela sipati huu ujinga.
Nakazia.We sikia kula kilaji, kafanye matusi hizo mood zitaisha....