Huwa sigongwi mimi

Huwa sigongwi mimi

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,002
Reaction score
60,121
10007438_273402106168890_1081504710_n.jpg
 
AH!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:tape:
 
Icho kibajaji amekionea unafhani lingekua semi ingekuaje
 
Watu bana mmekamatwa sana na heading nakumbuka enzi nilipokuwa chuo nikiwa na tangazo langu nikitaka kubandika na watu walisome basi naweka heading kwamba 'USISOME HAPA'
basi kila mtu alikuwa anataka kujua kuna nini ndani yake hatimae ujumbe wangu unafika.
So mleta mada amekuwa mbunifu kidogo kutulazimisha kufungua thread yake
 
mkuu hata mimi ningeshangaa kama ungekuwa unagongwa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom