Status nafungua maana mbs ninazo za kutosha napenda meme sana nifurai ila kufuata maadili yangu huwaga wanawake ndo sifuatilii na wengi nimefuta namba zao kuna mdada ana watoto watatu eb bhana daily kuwapost mpaka inaboa siku moja akaweka status "watoto wangi mwenyewe nawapost mniseme mtakavyo" kumbe Wana walimsema
Ile somtime inaleta inferior complex kwa wenzio Kwa mfano una kazi unapost uko ofisini daily wenzio wasio na kazi wanaona kama hawana baha8, una watoto unapost haswa wanawake Kuna wenzie hawana to hata mmoja ni age hyo hyo
Mi kama biashara naangalia zote na meme ila mpicha ya mtu binafsi tena daily nafuta tu namba au namute
Ile somtime inaleta inferior complex kwa wenzio Kwa mfano una kazi unapost uko ofisini daily wenzio wasio na kazi wanaona kama hawana baha8, una watoto unapost haswa wanawake Kuna wenzie hawana to hata mmoja ni age hyo hyo
Mi kama biashara naangalia zote na meme ila mpicha ya mtu binafsi tena daily nafuta tu namba au namute