Huwa nawaza tu

Huwa nawaza tu

ha ha ha we acha tu watuchukulie poa

Afu we Shorry nimetenga mostly M. 5 T'sh !
Nawashwa kuchunwa! Tena nawashwa haswaa!
Kwa sababu nna mihela so far nna kibri ! Sihitaji debate !
Nakutaka wewe (specific) unichune december hii .
 
Afu we Shorry nimetenga mostly M. 5 T'sh !
Nawashwa kuchunwa! Tena nawashwa haswaa!
Kwa sababu nna mihela so far nna kibri ! Sihitaji debate !
Nakutaka wewe (specific) unichune december hii .
5million Tsh???!!!!this is soo astaghfirullah laazim kufur wallah....kwa hili hata sihitaji muda wa kulifikiria nakuja pm sawa BABY?
 
5million Tsh???!!!!this is soo astaghfirullah laazim kufur wallah....kwa hili hata sihitaji muda wa kulifikiria nakuja pm sawa BABY?

Harryup!
Njoo fasta , fursa kama hizi hazizaliwi kila mara !
Hata kama imekukutia bafuni, usihangaike kupambaika!
Ukuje hivyohivyo utapambaikia eneo la tukio!
Njoo uone Paka mahiri alambavyo maziwa!
 
Harryup!
Njoo fasta , fursa kama hizi hazizaliwi kila mara !
Hata kama imekukutia bafuni, usihangaike kupambaika!
Ukuje hivyohivyo utapambaikia eneo la tukio!
Njoo uone Paka mahiri alambavyo maziwa!

kudadadeki wallah mbuzi kafia kwa muuza supu sijui nimchome, sijui nimkaange mie...
 
kudadadeki wallah mbuzi kafia kwa muuza supu sijui nimchome, sijui nimkaange mie...

Kwa vile waja chukuchuku tokea bafuni , basi na mee apikwe chukuchuku!
Namie takupokea mithili ya msumari ukaao juu ya mwamvuli , usimamavyo! Ukiukunja umesimama , ukiukunjua umesimama !
Kula hela yangu Pitchuna !
We kata tu ruberband sihitaji kuzifunga tena!
 
Kwa vile waja chukuchuku tokea bafuni , basi na mee apikwe chukuchuku!
Namie takupokea mithili ya msumari ukaao juu ya mwamvuli , usimamavyo! Ukiukunja umesimama , ukiukunjua umesimama !
Kula hela yangu Pitchuna !
We kata tu ruberband sihitaji kuzifunga tena!

uhhh leo mbwa kala mbwa wallah....
 
uhhh leo mbwa kala mbwa wallah....

Nakusubiri ivoo !
Kabati mi ndo n'shatupa kule! N'shapambaika za kuogea ujue!
Wapigao chabo , sijui bodi , wabodike salama! Nala mifeza yangu!
Na feza sio mnduku kwamba kila mtu anao!
 
Nakusubiri ivoo !
Kabati mi ndo n'shatupa kule! N'shapambaika za kuogea ujue!
Wapigao chabo , sijui bodi , wabodike salama! Nala mifeza yangu!
Na feza sio mnduku kwamba kila mtu anao!

ha ha ha pesa sio matakko kudadadeki wallah
 
siku nakuja kumjua Madame B nakuta ni mama wa watu mwenye heshima zake... tena mama mchungaji labda...

Khantwe na kumwita kote mama mkwe kumbe ni katoto ka shule ya sekondari au ndo kanaanza chuo

kiwatengu ni kachali tu kanafanya biashara ya kuuza CD na kuingiza nyimbo kwenye memory card na ka laptop yake...

janeth1 na kumwita kote mke wangu romantic eyes mdogo wake kumbe kenyewe ni kadogo hakuna mfano...

shansarie nakuja kumkuta anauza mgahawa maeneo ya machame..

miss chagga nakuja kumfuma live kwenye kibanda cha airtel money huku anachat jf wakt wateja wamepungua...

Mr Rocky nakuja kuonyeshwa bar za mtaani anakung'uta banana kule moshono maeneo ya masai camp..

Ntunzu kumbe nae ni fundi viatu...

Dena Amsi ni mbunge wa vitu maalum kutoka babati... afu ndo anaitwa mchepuko na mnywa banana....

Evelyn Salt unakuja kumfahamu ni bonge la braza....

a.rahabu ni house girl wa mwalimu kabanga....

Asprini ni kijana mdogo tu mwenye miaka 17 afu mamafacebook ni mbibi mwenye umri wa miaka 80>......

Mtoto halali na hela ni mlinzi...

Elli79 ni dereva bodaboda...

haya ni mawazo yangu tu.... huwa nawaza sana kuhusu hizi keyboard zetu... asilimia kubwa hatufahamiani jamani....
umenifurahisha mno eti nauza mgahawa machame na mumewangu anachoma cd lol bora usiendelee kutufaham tu
 
ha ha ha...nimejikuta nacheka sana..
mkuu umewaza sana.
umesema Eli79 ni dereva wa bodaboda?

yap... labda anawahi jf wakati wateja hakuna.. unamkuta katulia juu ya SALG yake huku yuko jf na tecno p5 yake.
 
Last edited by a moderator:
umenifurahisha mno eti nauza mgahawa machame na mumewangu anachoma cd lol bora usiendelee kutufaham tu

hahahaaaaa..... na muda wa mchana anakuja kupiga menu afu halipi... jioni anakuletea muvie ndo mburudike kidogo.... hahaaaa... imekaa poa sana.
 
Back
Top Bottom