Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 724
Mechi kati ya hivi vyama hasa katika chaguzi ndogo huwa ni tamu sana. Nakumbuka mechi ya Igunga , Busanda, Tarime , Arumeru nk zilikuwa mechi za kukata na shoka.
Uchaguzi huu mdogo timu moja imejitoa kwa kulalamikia mazingira ya mchezo kutokuwa mazuri , hii mechi imepoa kabisa .Hakuna tena amsha amsha tuliyoizoea kwa mda mrefu.
Katika chaguzi kama hizi hapo zamani jukwaa kama hili lilichangamka kwa nyuzi nyingi za uchaguzi . Hata mzunguko wa pesa uliongezeka katika eneo husika, leo sioni tena.
Wito , nawaomba waandaji wa mechi kati ya CHADEMA na CCM warekebishe kasoro zilizopo ili sisi wananchi tufaidi mechi kali kati ya hizi timu mbili.
Uchaguzi huu mdogo timu moja imejitoa kwa kulalamikia mazingira ya mchezo kutokuwa mazuri , hii mechi imepoa kabisa .Hakuna tena amsha amsha tuliyoizoea kwa mda mrefu.
Katika chaguzi kama hizi hapo zamani jukwaa kama hili lilichangamka kwa nyuzi nyingi za uchaguzi . Hata mzunguko wa pesa uliongezeka katika eneo husika, leo sioni tena.
Wito , nawaomba waandaji wa mechi kati ya CHADEMA na CCM warekebishe kasoro zilizopo ili sisi wananchi tufaidi mechi kali kati ya hizi timu mbili.