Wana JF, kuna huu wimbo wa kiduku (Aladji) sijui kama nimepatia jina lake, kwa maoni yangu hauna maadili ya kitanzania ingawa unarushwa laivu kwenye Ma TV.
Kuna siku nimekaa sitting room na watoto ukaanza kupigwa ikabidi nitokomee chumbani maana ni aibu. Hivi kwa nini baraza la sanaa lisiupige marufuku kuonyeshwa kwenye TV?