Tidito L
Member
- Jan 23, 2011
- 97
- 16
Katika % kubwa ya wanawake ambao hawajaolewa wanaopenda hela sana mara nyingi akishaolewa ni mwanamke wa kujua kutafuta maendeleo na kusaidia kuendesha familia pasipo hitaji tegemezi. Hii ni tofauti na wale wanaojifanya watakatifu kwamba wana huruma.
Sina maana kwamba labda wanatumia illegue way kuzipata.
Ushauri wangu kama hujaoa, oa mke wa hivyo ijapokuwa utaumia mwanzoni mwa uchumba wenu ila 4sure kama anakupenda,maisha yako utayapenda mwenyewe.
Achana na mademu wanaojifanya hawapendi hela.
Sina maana kwamba labda wanatumia illegue way kuzipata.
Ushauri wangu kama hujaoa, oa mke wa hivyo ijapokuwa utaumia mwanzoni mwa uchumba wenu ila 4sure kama anakupenda,maisha yako utayapenda mwenyewe.
Achana na mademu wanaojifanya hawapendi hela.